Lukosomolo
Member
- Nov 21, 2014
- 56
- 12
Pumba kabisa hawa viongozi walishaiweka Dar ndo majaribio ya ziara za kushtukiza na hali nchi hii ni kubwa kuliko acheni kutuhadaa Watanzania na madudu ni mengi mikoani na kwenye halmashauri zetu zinanuka zimeoza hebu njooni na huku mjionee wenyewe nchi ilivo