Lukosomolo
Member
- Nov 21, 2014
- 56
- 12
Halmashaur ya jiji la Mbeya Limeingia katika mgogoro na wananchi ni baada ya kuuza viwanja mara zaidi ya mbili eneo la Sistila pia halmashaur hiyo Imeshindwa kutangaza Zabuni kwa Mwaka wa fedha 2015/2016 kutokana na Rushwa Ufisadi na Uozo uliopo Halmashauri hapo Tunaziomba Taasisi mbalimbali zinazohusika kuweza kuisaidia jamii na Serikali kwa ujumla ikiwemo ya kupambana na Rushwa ili Kuweza kutupatia ufafanuzi juu ya Hilo