Recent content by LUKAMA

  1. LUKAMA

    Lissu ni kama Mandela, mtamtesa lakini kamwe hatopigia mtu magoti na mwisho wa siku atashinda kesi na kuwa maarufu zaidi

    Huyu jamaa anavyo zeeka anaona hajapata mafanikio anayoyataka anaandika hata vitu ambavyo havina maana anajaza sever za JF bure
  2. LUKAMA

    Kuendelea kwa Wachina

    Ndugu zetu walio serikalini, jifunzeni kutoka kwa “rafiki” zetu Wachina. (Imenukuliwa kwa muktadha kutoka kwa Howard Yu – LinkedIn) Miezi miwili iliyopita, China ilifungua daraja refu kiasi kwamba unaweza kupangilia Minara miwili ya Eiffel chini yake na bado kubaki nafasi. Juu kabisa kuna...
  3. LUKAMA

    Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Bila kusahau sisi wa Malawi Bado tunapatika 😆
  4. LUKAMA

    VPN: Mungu awabariki wazungu kwa hii kitu

    Hivi Lucas mwashamba yupo humu
  5. LUKAMA

    VPN: Mungu awabariki wazungu kwa hii kitu

    Watu weusi mwengi wetu tuna roho mbaya Sana si unaona nimekimbilia Malawi kwa sababu ya mkoloni mweusi fisi em
  6. LUKAMA

    VPN: Mungu awabariki wazungu kwa hii kitu

    Kwema hapo wakuu, nimekaa nje ya JF toka waifungei Sasa natafakari tangazo la kuifungia JF Kuna statement moja inasema hatutapatikana ndani ya Tz kwa muda wa siku tisini. Wazo likaja kumbe nikiwa Malawi naweza ipata JF, kwa Sasa nipo Malawi waku na wasalimu.
  7. LUKAMA

    Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Tupo pamoja
  8. LUKAMA

    Kilele cha Trump-Putin nchini Alaska kinafanana na kushindwa kwa taratibu kwa Ukraine

    Mahali ni jambo la maana, alisema Rais wa Marekani Donald Trump, aliyewahi kuwa mfanyabiashara wa mali isiyohamishika. Dakika chache baadaye, alitangaza kuwa Alaska, eneo ambalo Urusi iliuza kwa Marekani miaka 158 iliyopita kwa dola milioni 7.2, ndiko Rais wa Urusi Vladimir Putin atajaribu kuuza...
  9. LUKAMA

    Tanzania yageuka kimbilio la wahamiaji kutoa nchi za Afrika. Kwa sasa Wamisri wanamimimika nchini kufanya makazi na uwekezaji

    --- --- Ahmed Ginah aliondoka kijijini kwake kaskazini mwa delta ya Misri mwaka 2017 na kuelekea Dar es Salaam akiwa na ndoto tu. Miaka minne baadaye, aliunda kampuni na kuiita kwa heshima ya ndoto hiyo – Dream Trading – kwa mtaji wa $3,000, ikizalisha na kuuza bidhaa za nyumbani za alumini na...
  10. LUKAMA

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Kihistoria, Wajerumani hawakuwa wamezoea vita vya muda mrefu. Mikakati yao kuu ya kijeshi ilikuwa Blitzkrieg (Vita vya Radi), ambayo ilikuwa ni kushambulia adui kwa nguvu kubwa kwa kutumia vikosi vingi vya pamoja (Anga na Ardhi). Mkakati huu ulifanya kazi Ufaransa, ambayo ilishindwa kwa muda wa...
Back
Top Bottom