Nadhani wewe ndo unawaza udaimond na ukiba,,,,,, mimi hata ukija kwenye Playlist yangu hakuna hata nyimbo zao kwasababu huwa sina time nao... Zaidi utakutana na Mwana FA, Nikki Mbishi, Chindoman, One Incredible, Galinoma, Jah Kimbute, Msondo nk.
Hivi naomba kuuliza kwenu waungwana, nyie mnaonaje hiki kipindi cha kila siku saa 3-4 usiku kupitia clouds fm, kiendelee kuitwa Sports Xtra au kibadilishwe jina na kiitwe Soccer Xtra?
Najaribu kuwaza tu bandugu............ [emoji26] [emoji26] [emoji26]
Tena ww Mzigua90 nimekuja sana pm yako lkn umeitia makuta marefu mapana na mazito + magril utafikiri umehifadhi mkataba wa muungano wa jamhuri ya tanganyika na zanzibar bhana...... [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamaa walitofautiana nini hadi mzee Trump akaamua kumfuta kazi ya ukurugenzi wa FBI huyu bwana, na hatimaye Comey ameandika kitabu "Fire And Fury" na katika moja ya interview na chombo cha habari ameongea dhahiri kuwa "Trump is morally unfit to be commander in chief." Kuna nini kinachoendelea...
Wow, beautiful smile, beautiful look, yani beautiful beautiful beautiful beautiful everything in you and your comments are beautiful too........ ..... Nimekupenda bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.