Well said brother, ni watu wachache sana wanaweza kuona jambo kwa upeo huo. Wengi wapo kuwatukana Na kubeza viongozi wa dini kuwa wakosefu, ilihali kuna mkwamo wa Mahusiano.
Mafunzo, fursa za masoko, ushsuri kwa mkulima na support ya pembejeo au technology. Ni wazuri lkn kuna kasoro chache kutoka kwa wafanyakazi wao kuwaacha wakulima solemba. Lkn management yao chini ya Jackline Mkindi inayo malengo mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi walishauri Bot kushusha riba, lkn pia kiwango kinachotozwa na mabank bado kipo pale pale. Bot walipaswa kuwadhibiti lkn pia ili hiyo Mikopo ipatikane all the time serikali irudishe accounts za ofs za umma kutunza PESA zao kwenye mabank binafsi pia. Lasivyo haitasaidia. Taarifa zilizopo ni...
Ni kweli Mkuu, wanaamini Ndoa zao ni Mungu anawajibika sio wao. Kuna shida ya mafundisho ya Ndoa na Mahusiano.
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.