Mwanamke wa kiafrica aliekuwa akipatikana huko misri alingudua manukato na alikuwa wa kwanza kutengeneza manukato nadhani hata kioo kilitengenezwa african miaka hiyo .wanawake wote hao ni wa asilia za injee je bara afrika wanawake wamefikia wapi,wamevumbua nini kina mama zetu,afrika jamani lini tutafika ?
Maunowanawake wote hao ni wa asilia za injee je bara afrika wanawake wamefikia wapi,wamevumbua nini kina mama zetu,afrika jamani lini tutafika ?
Kigodolowanawake wote hao ni wa asilia za injee je bara afrika wanawake wamefikia wapi,wamevumbua nini kina mama zetu,afrika jamani lini tutafika ?
Kwani waafrika wanaume wamegundua nini? Afrika ni hovyo sio kwa wanaume wala wanawake!wanawake wote hao ni wa asilia za injee je bara afrika wanawake wamefikia wapi,wamevumbua nini kina mama zetu,afrika jamani lini tutafika ?
Yes,yes nakubaliana na weweHii list bila kumtaja mwanamama mashuhuri MARIE CURIE unakuwa umekosea..
Huyu ameshinda tuzo ya nobel mara 2...kavumbua elements 2.
Na alikufa kwa sababu ya uvumbuzi wake alivumbua radioactive element kwahio wakati anazifanyia uchunguzi alikuwa exposed kwenye radiation akafa kwa leukemia
Tumegundua katerero huko bkKwani waafrika wanaume wamegundua nini? Afrika ni hovyo sio kwa wanaume wala wanawake!
Wao waligundua feni ya kwenye sita kwa sita.Sijaona akina sundi magolanya wote hao ni weupe tu!
Hawawezi kuolewa hawa hawana hamu ya gegedo muda wote wanawaza uvumbuzi tu.Hivyo kati ya hawa wote kuna aliyeolewa? Usikute ni mabikira!
Kuna kitu watu wengi hawakijui. Wachina ni wajanjawajanja tu. Kuna baadhi ya vitu vichache vina asili ya kwao. Ukienda mbali zaidi teknolojia nyingi za Uchina ni za kutoka kwa wahamiaji wa kutoka Ulaya au USA.SIJAONA HATA MWANAMKE WA KICHINA HATA MMOJA.KWELI WACHINA WEZI MNO WA TEKNOLOJIA.KILA KITU WANAIGA TOKA KWA WAZUNGU AFU HAWAWAPI CREDIT WAZUNGU
Wigi? Hawana ubavu huo.Hapa kwetu wanavumbua mawigi
Lakini wasionewe sana. Kwani wanaume/wanasayansi wa Tanzania wamegundua nini katika kumbukumbu?Hawa wa kwetu wamejaa mipasho tu
UMENENA VEMA SANA MKUU..LABDA WATU WASIOJUA HISTORIA YA UVUMBUZI WA VITU MBALI MBALI VIKUBWA DUNIANI NDO WATAWASIFIA WACHINA.ILA JAMAA WALE NI WAJANJA WAJANJA TU WA KUDANDIA INNOVATIONS ZA WHITESKuna kitu watu wengi hawakijui. Wachina ni wajanjawajanja tu. Kuna baadhi ya vitu vichache vina asili ya kwao. Ukienda mbali zaidi teknolojia nyingi za Uchina ni za kutoka kwa wahamiaji wa kutoka Ulaya au USA.
Sahihi. Kuna baadhi ya matajiri au wale wanaomiliki teknolojia huamua aidha kuhamishia au kutoroshea Uchina kwa sababu mbalimbali. Zaweza zikawa za kutofautiana kimawazo, ushindani wa biashara, kutafuta na kupanua masoko au kupingana na sera za walipotoka. Mara nyingine huwa ni kwenda kutafuta vibarua wa bei rahisi au malighafi nafuu. Waende wapi? China. Ndiyo! Si ndiyo kuna hayo mahitaji jumlisha uwingi wa Wachina soko la kwanza litapatikana tu nknk.UMENENA VEMA SANA MKUU..LABDA WATU WASIOJUA HISTORIA YA UVUMBUZI WA VITU MBALI MBALI VIKUBWA DUNIANI NDO WATAWASIFIA WACHINA.ILA JAMAA WALE NI WAJANJA WAJANJA TU WA KUDANDIA INNOVATIONS ZA WHITES
Dah! Huyo ulimtaja kiboko. Ana ubia na mwenza yeyote katika milki ya hiyo teknolojia au anaendesha kivyakevyake tu?Miss Natafuta amevumbua technolojia ya kutumia kibamia bila madhara yoyote!!