Tofauti ipo tena kubwa sana
Kosa la kuiba ni pale ambapo mshtakiwa alidhamiria kuiba na akafanikiwa kuiba kitu hiko na endapo atapatikana kosa hilo basi kwa mujibu wa kanuni ya adhabu kifungu namba 265 mtu huyo atahukumiwa adhabu ya miaka 7 jela
Kukusudia kuiba ni pale mtu anapodhamiria kuiba...
CHEO CHA *Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali* NA MCHAKATO MZIMA WA *NAMNA YA KUMWONDOA MADARAKANI KWA MUJIBU WA KATIBA*
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
*Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano*
Sheria za 1979...
Nahisi labda ni format ambayo haisupport kwenye simu ndo umdownload...format ya mkv hua sanasana hazisupport simu mkuu,kma kuna uwezkano jarib kuzfungua kwenye computer uone kma ztaplay
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.