Recent content by lubajaro

  1. L

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    Tume ya SACCOS ipo vizuri mkuu, mishahara kama Ile Ile tu ya TCRA
  2. L

    Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    Vipi Oktoba 29, Mlikufa kishujaa???
  3. L

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    Piga Interview, utaenda kuaniriwa Time ya Usimamizi wa SACCOS kama Mrajisi Msaidizi - Mshahara anayeanza ni kati ya TZS 2.54 MILLIONI - TZS 2.78 MILIONI hapo hiyo Basic Salary mkuu pia Kuna posho ya nyumba, Usafiri na Chakula si chini ya TZS 1.2 MILIONI - TZS 1.5 MILIONI uhakika wa Milioni 3...
  4. L

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    Wazee wa Stakabadhi Galani siyo....Rafiki zake na Bashe hao...Naam Fanya mambo
  5. L

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    Ni Taasisi gani? Na Mshahara ni TGS ngapi? Ili nikushauri vizuri
  6. L

    Jedwali kamili la mishahara ya wafanyakazi wa TRA, Loooh !! 😋😋

    Meneja Wilaya ya kukodi, mshahara Shilingi ngapi?
  7. L

    KERO Ajira Mpya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) hatujalipwa hela ya kujikimu

    Hapo inabidi Meneja Rasilimali Watu ajitafakari. La sivyo, atatumbuliwa
  8. L

    Mwanajeshi wa Jeshi la Marekani aripotiwa kuongoza sala ndani ya Musala ya Pentagon

    Mataifa ya Kiislamu na viongozi waislamu ni wanafiki Sana, Iran anapigwa wamekaa kimya, Sasa jiandaeni na Ushoga mara baada ya Iran kupinduliwa na Marekani
  9. L

    Inasadikika Jeffrey Epstein yu hai

    Wameona muziki wa kihajemi siyo wa kitoto, pia Ndege za Kivita 53 za mizigo kutoka China zilipelekwa Tehran, wakaona kupotezwa hii vita Bora wake na Epstein. Iran anaenda kuzizamisha meli za US
Back
Top Bottom