Shauri Yako wewe ropoka ropoka tum...FSB wakiitwa zamani KGB wasikunase... Wale wazee wanaotumiwa na CIA pamoja na MI6 Counter Intelligence ya FSB mtawezana???
Hapa hata Evarist , Maria, Kimambo, etc wanaweza wakafikiwa huko huko walipo kama FSB wakipewa kandarasi hiyo...na warusi ni Wazuri...
Nimekuwa namfuatilia Sana kwenye platform ya TikTok na YouTube...huyu jamaa nimemkubali Sana kwenye habari za MATUKIO ya kijamii ya hivi karibuni hususani MATUKIO mawili yaliyotokea hivi karibuni ya Kiongozi wa Serikali kumpa maua yake na lile tukio la Mama mpita njia akiwakataza wananchi...
Ni kweli kabisa wale watangazaji wa kipindi cha power breakfast wote ni vichwq panzi wote hamna kitu wameshindwa kuziba gepu la kina Kipanya.
Mimi nashauri wapigwe chini watafutwe wengine, kidogo Sam Sassali namuelewa
Wengi wanaishia kuliwa na wakubwa tu...zaidi week kufuli la Asili la kunasana...utapiga hela balaa...maana akinasa tu ni Bilioni 1 bila hiyo tunaipeleka hewani Dunia Ione kama ya yule Mkuu wa Mkoa kutoka Mtwara Pesa mingi ilitumika kufifisha juhudi maana alikula kinyeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.