Recent content by lubajaro

  1. L

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Shauri Yako wewe ropoka ropoka tum...FSB wakiitwa zamani KGB wasikunase... Wale wazee wanaotumiwa na CIA pamoja na MI6 Counter Intelligence ya FSB mtawezana??? Hapa hata Evarist , Maria, Kimambo, etc wanaweza wakafikiwa huko huko walipo kama FSB wakipewa kandarasi hiyo...na warusi ni Wazuri...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Sawa
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kusaga TV kwa sasa Hana mpinzani kwa habari za matukio na kijamii jijini Arusha

    Nimekuwa namfuatilia Sana kwenye platform ya TikTok na YouTube...huyu jamaa nimemkubali Sana kwenye habari za MATUKIO ya kijamii ya hivi karibuni hususani MATUKIO mawili yaliyotokea hivi karibuni ya Kiongozi wa Serikali kumpa maua yake na lile tukio la Mama mpita njia akiwakataza wananchi...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Nipe codes
  5. L

    JamiiForums Tanzania Clouds FM ya zamani ilikuwa na ratiba nzuri ambayo ilikuwa inakushawishi kusikilza kuanzia asubuhi hadi jioni

    Ni kweli kabisa wale watangazaji wa kipindi cha power breakfast wote ni vichwq panzi wote hamna kitu wameshindwa kuziba gepu la kina Kipanya. Mimi nashauri wapigwe chini watafutwe wengine, kidogo Sam Sassali namuelewa
  6. L

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Madereva ndiyo nani????
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Mwalimu wa Chuo Kikuu ni njaa kali sana
  8. L

    JamiiForums Tanzania Nani aliwalipata vijana walioingia barabarani October 29, 2025 siku ya uchaguzi?

    Kwani Gwajiboy ndiyo nani?
  9. L

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    Madai wenyewe kwa wenyewe wanauana Sana huko umasaini, lakini hutokuja kusikia kesi umeenda Mahakamani. Hawa jamaa Wana utamaduni wakulindana sana
  10. L

    JamiiForums Tanzania Je, mgeni wa Azam anayetangazwa ni nani?

    Anaitwa Anko T
  11. L

    JamiiForums Tanzania Vin Nkolomboka: Kinywaji Halisi Nguvu ya Simba

    Wazee wa ulabu, mjaribu hichi Kinywaji mtanishukuru baadae...wazee wa maji, Kinywaji kinawahusu hiki.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kwa TRA: Anzisheni Program ya Certified Tax Educator (CTE).

    Nashukuru Legend kwa kuniunga Mkono wazo langu
  13. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiandae sana kisaikolojia kwa lolote mkeo akianza kujihusisha na shughuli za siasa

    Wengi wanaishia kuliwa na wakubwa tu...zaidi week kufuli la Asili la kunasana...utapiga hela balaa...maana akinasa tu ni Bilioni 1 bila hiyo tunaipeleka hewani Dunia Ione kama ya yule Mkuu wa Mkoa kutoka Mtwara Pesa mingi ilitumika kufifisha juhudi maana alikula kinyeo
Back
Top Bottom