VP ukiamua kujiuzulu lazima vyombo vikuweke kwenye uangalizi wa kipindi kisichopungua miezi 6 ili kujiridhisha Kwamba Hauna madhara.
Maana VP ni cheo kikubwa Sana...kwahiyo usitegemee kwa miezi 6 ya mwanzo kama utaweza kumuona kwa public or any media house....yupo kwenye uangalizi kuona kama...
Kwenye Ujasusi Kuna kitu kinaitwa Mission Complete.
Ikifikia hatua hiyo when Mission is Complete basi jua au tambua huyo Muhusika aliyefanya hiyo Mission lazima wamuue ili kuficha ushahidi
Changamoto ya kununua gari kwa Muhindi au Muarabu au Singa Singa ni Kwamba hilo gari unalonunua ipo siku litageuka kuwa Jeneza la kukuua kupitia ajari mbaya kama ya yule Sheikh kule Kondoa Dodoma.
Magari mengine unanunua kumbe ni makafara ya damu yanahitajika...unatolewa kafara na hela pia...
Wakati wa kampeni tulikuwa tunasema CCM OYEEEEEEEE...MAMA anaupiga mwingi sana hadi unamwagika hadi Magari yetu tukaweka T 2030 SSH.
Hii tuliipenda wenyewe na bado Mama atetewe...leo mtasemaje tumefikaje????
CCM BABA LAO tukutane 2030
Kama siyo Kenyan Boys wale aliowataja Nuru Vazi, basi itakuwa KGB au Yakuza watakuwa wameifanyia yao.
Sasa hivi Kuna Intelligence Sharing na pia Kuna Magenge ya kufanya kazi hizo chafu kwa mfano Japan Kuna hilo Genge kinaitwa Yakuza.
Hawa ukiwapa hata $ 100,000 wanafanya yao bado wazee wa KGB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.