Recent content by LPG Man

  1. LPG Man

    Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere kujengwa chini ya kiwango, naomba kuuliza haya...

    Achana na maneno ya wapiga dili wanataka TANESCO iwe tegemezi wa makampuni ya IPTL, Agreco, Symbion nk ili wakubwa waendelee kula pesa za wavuja jasho, hapo Bwawa na Mwalimu Nyerere kuna wataalam wabobezi wamesimamia, mbona hawasemi flyover za Ubungo na Tazara au Madaraja ya Tanzanite nk...
  2. LPG Man

    DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

    Kuna wasukuma kibao kule wanafuga ng'ombe naona Rutto anajichimbia kaburi
  3. LPG Man

    Bodi ya Ligi Kuu yatoa onyo kali kwa Haji Manara, Bumbuli, ni kuhusu waamuzi kuongeza dakika

    Kwahiyo hata Ulaya Refa akikataa goli au kuonesha offside isiyo kweli anafungua?
  4. LPG Man

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😂😂😂😂Hana adabu kabisa ningemuacha ningeabika mm
  5. LPG Man

    Kwanini wanaume hawapendi kuoa experienced woman?

    Mileage bibiye unakuta imesoma Sana, hafu wanaume huwa hatupendi kudharauliwa maana Kama unademu ameshapigwa na wanaume wengi hata uhuru na kutembea nae maeneo mbalimbali unashindwa, hafu hata ndugu Zaiko watakuzarau
  6. LPG Man

    Rais Magufuli kufanya ziara ya kikazi Dar kuanzia Februari 24

    Hata mm nashangaa nakumbuka alikuja Rais wa Malawi mwaka jana wakaizindua pale Mbezi
  7. LPG Man

    Nimefanya jambo la kijinga sana,sijui agent ananifikiriaje

    Kama hilo bus linatoka Dar utapata siti ya bench ndo ukome hahaaa nakutania bana
  8. LPG Man

    Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves)

    Ngoja ujidanganye, radi ni umeme na simu ni conductor wa electricity zoea tu kuna siku utakaushwa ndo ushangae
  9. LPG Man

    Wafanyabiashara na Wasafirishaji wagoma Songea wakitaka kuonana na viongozi wa mkoa, DC Cosmas atoa saa 24

    Ina maana wao viongozi wanajifanya jeuri ngoja waje watumbuliwe
  10. LPG Man

    Kim Kardashian aomba talaka kutoka kwa Kanye West baada ya miaka 6 na nusu ya ndoa

    Na madeni anayokiasi gani? Hiyo ni gross je net amount ni kiasi gani?
  11. LPG Man

    Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

    Hiyo simu unatumia kaibuni mzungu, Rais wako vifaa vyote vya kumlinda kavitengeneza mzungu hata nguo na viatu katengeneza mzungu, hafu amauhofia hahhaaaa, shule kasoma ya mzingu usije ukakuta hata boxer kavaa ya mzungu
  12. LPG Man

    Nilivyo-date na mzungu nikajikuta Finland mpaka Malmo-Sweden

    Stockholm ile walioimba Twanga Pepeta kule Sweden? Imekuwa Finland tena da we binti ni kiboko kwa kutengeneza uongo hafu hati ya kusafiria utafutiwe na foreigner aisee we ni hatari ndo maana huolewi
  13. LPG Man

    Natafuta mwenza wa maisha serious

    Maombi yakukutanishe na mpenzi hebu acha kudanganya, wachumba wanatafutwa, kwa wasichana mara nyingi huolewa na watu wanaowafahamu mtaani, makazini au sehemu za kazi au marafiki wa watu wanaowafahamu hakuna maombi hapo
  14. LPG Man

    Maji nayo yakatika mkoani Texas, Marekani, wananchi Wachota barafu kwa matumizi

    Nani kakudanganya acha kupotosha Texas ni Nchi, USA ni muungano wa Nchi hizo 50+ siyo majimbo sawa kijana kasome uelewe vizuri,
  15. LPG Man

    Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

    We utakuwa unaloga ungekuwa na uwezo nazani hata redio, tv na simu janja ungezifungia
Back
Top Bottom