Habari ndugu wanajamv!
Naomba msaada toka kwenu. Nimeitwa kwenye usahili na shirika fulani kanda ya kaskazini. Position ni Gender Officer!
Kwa waliowahi fanya usahili ya position ya Gender naomba tupeane uzoefu wa maswali yanayoulizwa ili kujiandaa. Mimi ni fresh from school sijawahi hudhuria...
Yaani nitaamka early in the morning tarehe 25/10 kwa ajili ya Lema na ni bora nisimpigie kura raisi ila kwa Lema niweke alama ya Vema niondoke
Viva Lema Arusha ni yako acha CCM wajigarakaze cc yetu macho kuwasanifu
Arusha ni jiji au ni mfano wa jiji? Mgao wa umeme, biashara zimesimama, vipato vimekuwa duni ... Ninapofanya biashara umeme unakatika Saa 12 kasoro asubuhi Unarudi Saa nne..... Hii ni nchi gani? Au mawaziri wameondoka na umeme wao?
TANESCO tuelezeni ni nini shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.