Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
- Thread starter
- #21
Hivi mtu anajiita mwanasheria halafu anadanganya umma waziwazi.
Nilidhani utakuja na analysis ya kisomi juu ya hali ngumu imayomkumba lema Arusha.
Wa
Mkuu,huu si uchambuzi ila ni ripoti ya ninachoona na kusikia. Halafu,sijiiti usemavyo. Kama ni rahisi kujiita,jiite. Bure kabisa