Nina miaka 28,
Mkritu,
Sina kazi,
Elimu yangu form 4,
Natafuta mchumba awe mkritu,
Atakaeweza kunitunza nami nimtunze,
Miaka 30-35.
Kama uko tayari ni pm.
kwani MNA umuhimu gani? wenye umuhimu wamerudishwa na malipo juu ...walalahoi wataisoma Namba....hii ndio sirikali....ajira zimetolewa huku watu Bado wanasugua gaga na barua za kusitishwa....hii serikali Mungu anawaona na sijui usingizi mnapata kweli nyie watu sielewi aisee!
kufa hatufi ila chamoto tutakiona...huu mwaka wetu aisee...tutazisoma Namba zitaisha tutasoma na herufi zote irabu na consonant zitaisha....na Bado tutakisoma kichina na kijapan.....aisee tunalo na tutakoma mwaka huu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.