Natafuta mchumba aje kua mume wangu

Natafuta mchumba aje kua mume wangu

Nina miaka 28
mkritu..sina kazi
elimu yangu form 4
natafuta mchumba awe mkritu... atakaeweza kunitunza Nami nimtunze...miaka 30-35...

Kama uko tayari ni pm...



Sina uhakika kama unaweza kumpata huyo mtu
BTW siku hizi tunawatia na kuwazalisha tu masuala ya kuoa ni zilipendwa,
 
I understand what you are going through lady.

Wengi hawajui unapitia kipindi gani that's why wanakuhukumu mapema.

I don't judge, because I don't wanna be judged.
 
mimi nina miaka 24, ninashughuli zangu zinazoniweka mjini, nina nyumba sina gari. niPm tuyajenge
 
Mara ana degree ya sheria mara form four. Utakuwa ndugu yake naibu spika wa bunge la Bangladeshi, mmezoea kusema uongo.
 
Wewe taperi.
tar.17.11.2015 uliweka thread ukiomba kazi ukisema una degree ya sheria na law school of Tanzania.
sasa kwa sasa unasema umemaliza kidato cha NNE,Mimi sikuwezi kwa kweli ,.
Unadhani humu wote ni vilaza.
 
Wewe taperi.
tar.17.11.2015 uliweka thread ukiomba kazi ukisema una degree ya sheria na law school of Tanzania.
sasa kwa sasa unasema umemaliza kidato cha NNE,Mimi sikuwezi kwa kweli ,.
Unadhani humu wote ni ******.
Huyu mleta uzi kasahau wabongo hatupendagi ujinga hasa google wakiwa kazini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom