Natafuta mchumba aje kua mume wangu

Natafuta mchumba aje kua mume wangu

Nina miaka 28
mkritu..sina kazi
elimu yangu form 4
natafuta mchumba awe mkritu...atakaeweza kunitunza Nami nimtunze...miaka 30-35...

Kama uko tayari ni pm...


Tuanze na ww
Hebu tuambie utamtunzaje na.huna kazi ?form 4
 
Nina miaka 28
mkritu..sina kazi
elimu yangu form 4
natafuta mchumba awe mkritu...atakaeweza kunitunza Nami nimtunze...miaka 30-35...

Kama uko tayari ni pm...


Nina ushahidi husiyo na shaka yeyote baada ya ajira kuwa ngumu wanawake wamegeuza wanaume kazi zao, sasa wewe huna kazi hutamtunzaje? Mapenzi, kupika na kufua kunaleta mchele sokoni?
 
Na ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu hiyo hapo chini ni moja ya thread zako za nyuma
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Natafuta kazi, nina Shahada ya Sheria
Kwa hiyo anamgeuza mme ndyo kazi, yeloii wazazi njooni muone huku watoto wa kike wanajiuza, Badoo imehamia huku nenda ibadani au mwambie mchungaji wako akutangazie kama utaweza, baba Magu rudisha hela bank za biashara zina mgomo hazikopeshi la sivyo haya matangazo ya Dada zetu waoga wa kazi ngumu yatatamaraki
 
Nina miaka 28
mkritu..sina kazi
elimu yangu form 4
natafuta mchumba awe mkritu...atakaeweza kunitunza Nami nimtunze...miaka 30-35...

Kama uko tayari ni pm...


Rejea hapo

b2a82e3cad2c40630db9f3882ea4053a.jpg
 
Wewe taperi.
tar.17.11.2015 uliweka thread ukiomba kazi ukisema una degree ya sheria na law school of Tanzania.
sasa kwa sasa unasema umemaliza kidato cha NNE,Mimi sikuwezi kwa kweli ,.
Unadhani humu wote ni ******.
Nnahisi huyu atakuwa ni mmoja wapo wa wale ambao vyeti vyao vya form 6 mpaka chuo vimeungua na moto na wakatoaga matangazo mtu akiviona ampigie simu
 
polee ..naona nawe Una shida na stress za mahusiano karibu.....maana umefurukuta mpaka kijasho cha sikio kimekutoka...
Afu mbona mwandiko wako umekaa kiume usikute dume wewe?
 
Nina miaka 28,
Mkritu,
Sina kazi,
Elimu yangu form 4,
Natafuta mchumba awe mkritu,
Atakaeweza kunitunza nami nimtunze,
Miaka 30-35.

Kama uko tayari ni pm.
MKRITU ndo dini gan hyo? Hata uandish wako na content yako ni dhahir nikikuoa utanizalia watoto vilaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom