Natafuta mchumba aje kua mume wangu

Natafuta mchumba aje kua mume wangu

nikusaidie kuelewa

kasema anataka mchumba ina maana hajawahi ipata ndoa.


kamata fursa!!!.
ni sahihi anaweza akawa hajawahi kuwa na ndoa lkn kazalishwa watoto mpaka wa4 akiwa kwao. ndo maana nikamuuliza ana watoto wangapi wa nje ya ndoa.
 
aisee katisha..mara 4m4 mara ana shahada ya sheria,mara anatafta mchumba...usijitwishe gunia la uongo ukaja kutana na vijana wamejivika ngozi ya ulaghai..kuwa makini
 
jamani natangaza natafuta mchumba ......pm...karibuni mmiminike.....
 
Nina miaka 28
mkritu..sina kazi
elimu yangu form 4
natafuta mchumba awe mkritu...atakaeweza kunitunza Nami nimtunze...miaka 30-35...

Kama uko tayari ni pm...


Vipi kuhusu dini?
Weka vigezo zaidi ili upate majibu mazuri .
Mola akutangulie
 
Yaaan kwa mapigo hayo hii JF ingekua analetf kama kwenye watsapp aaaah.. angeleft.. maana kamix madesa.. vibaya mnnooo..
Lakin huko aliko mapigo anayapata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom