Benki zote huwa zinachaji riba ya kutunza pesa za mteja kila mwezi. Je ni kwanini akaunti ikiwa haina hela huendelea kuchaji na kuwa deni kwa mwenye akaunti wakati akaunti haikuwa na hela? Je ni haki?
Huyo magufuli anafanya haya yote akijua kuna upinzani imara utamtetea au utakuwa pamoja nae. Hata kikwete angekuwa kachaguliwa mwaka huu angefanya kama magufuli haya ni matunda ya upinzani imara na usijue kuwa magufuli yuko imara.
Kazi utapata cha msingi muombe sana Mungu na usikate tamaa. Tupo wengi mimi mwenyewe nina mwaka wa 4 sasa sijapata ajira. Usisikilize maneno ya watu yanayokatisha tamaa utapata kazi nzuri na yenye mshahara mnono na utawapita hata waliotangulia kupata kazi. Kitu nilichogundua hatujiandai vizuri...
Nguvu ya Lowasa ndiyo imempitisha Magufuli na kumkata Membe na ikumbukwe Magufuli alikuwa upande wa Lowasa. Na ndo mana Magufuli ana hasira na JK. Na lazima JK afungwe kama huamini utaona
Mtoa mada hoja yako si kweli. Ukweli ni kwamba bado tunatumbua majipu ili tusije tukateua mawaziri wenye majipu ikatutatiza kutumbua majipu au kuchangua mawaziri tena baada ya kumtumbua jipu waziri husika.
wote wana haki ya kudai hata mimi nilieenda kuzika nitafungua kesi ya madai mana wameniongezea garama bajeti yangu ilikuwa ya siku 3 ila kutokana na kuongezeka kwa siku ikabidi bajeti pia iongezeke lazima tuwatie adabu
Watu wanashabikia tu stand kuhamishwa bila kuangalia atakaeathirika ni nani? Mjue stand ikihama na garama za nauli zitaongezeka mana itabili upande daladala hadi Ubungo cha msingi ni kuboresha miundombinu kukabiliana na changamoto. Chekelee UDA wanafurahia wawakamue visenti vyenu na nauli...
elewa hoja zake kwanza kuepuka matumizi mabaya ya fedha za umma, pili itawezesha kufanya biashara mzuri kwa magari yaendayo kasi mana abiria wakishuka toka mikoani wataingia kwenye magari ya mwendo kasi kuelekea makwao. Sio kila hoja tupinge kwa kuingiza mambo ya siasa. Mimi nashauri isiondolewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.