Serikari itusaidie wizi huu unaofanywa na Mabenki

Love Candy

Member
Jul 16, 2015
90
14
Benki zote huwa zinachaji riba ya kutunza pesa za mteja kila mwezi. Je ni kwanini akaunti ikiwa haina hela huendelea kuchaji na kuwa deni kwa mwenye akaunti wakati akaunti haikuwa na hela? Je ni haki?
 
Zile charges ni kwa ajili ya account management fees kwaiyo ni ghalama ambazo mteja anatozwa kwa kua na account au kumiliki account na azitozwi kwa sa babu ya kuweka pesa
 
Benki zote huwa zinachaji riba ya kutunza pesa za mteja kila mwezi. Je ni kwanini akaunti ikiwa haina hela huendelea kuchaji na kuwa deni kwa mwenye akaunti wakati akaunti haikuwa na hela? Je ni haki?
Bank zinatoa riba kwa mteja kuweka fedha zako. Ila zinakuchaji ada fulani fulani kwa huduma mbalimbali, kama account management fees, transaction fees, withdraw fees, ATM card fees etc. Tatizo la bank zetu ni viwango vikubwa vya hizo charges na pia charges zingine hazina maana. Kwa mfano CRDB wanachaji ATM card fee kwa mwaka. Halafu bado kila transaction ninayofanya kwenye ATM wanakata ada.

i
 
Akaunti ikiwa empty hawachaji, lasivo ningekuwa na negative balance NMB, ambayo specifically nineiweka kupitishia cheque tu!
Na naendaga kwa teller kabisa atoe akwangue kbs hela ikiingia
 
Back
Top Bottom