Unapigwa nao na banyamulenge weee ....lione hata aibu mbele za mungu huna ??kipi uteteacho kuhusu unyanuasaji wafanyiao kina babu seya ?????gamba mkuu wewe na mtetee hta shetan coz nyi ni mashetan pia watu wa mtazamo huu !!!kaa kimya usilete ungese hpa kma...
Yeah !!nakupa mia coz nafanya huko til now ....mapendekezo yangu kwa serikali ni kwamba shirika hili lifungwe au liwe linafanyiwa auditing na serikali !!mabilion yanaishia ktk semina hewa na zisizo na tija then wanatumia mwavuli wa dini kujiita wapendwa ktk...
mkuu wapaswa upate tution kuhusu inflation rate ,currency exchange rate , demand and supply pamoja na goverment fiscal policy ......ukijua hayo mambo na jinsi yanavyohusiana na vipimo vya kukua au kuyumba kiuchumi then utaelewa kwa nn Nyerere aliondoka...
Nakushangaa sana unaposema Kifupi tu- Nyerere aliongoza na kuacha nchi na inflation ya chini ya asilimia 5. Wazungu waliona Tsh ni very strong currency ....
oi !!oi!! hapo umenigusa mhasibu kuhusu currency stability and inflation .je wajua visababish vya inflation na currency...
we mbwiga unaujua wastan wa mzumbe au unakurupuka tu ???nimesoma mzumbe 2005 wastan ulikuwa ni 50% na ndo wajuu kwa vyuo vya bongo pind izo . je wa sua ni ngap ???wacha kujijaza ujinga ......kma msul ni mzumbe baf tofaut na hpo kazana kukata ng'ombe mitama...
ah!! by da way wakenya na .waganda hawatupendi wabongo from their heart !!we better stick on our own... but bila uongoz wa kijanja bongo watatusumbua sana !!ashitakiwe kenyata but wametushawish 2gomee mkutano wa common wealth na tumekubari .
......means they...
nyi maku .....maa tulizen miku .....nduuuu !!!!ock ??? then mtamsoma mbowe mabongo lala nyi mnadhan anachafulika kirahis ???? mfanyabiashara kitambo unashangaa kuwa na nyumba dubai ???unajua historia ya ukoo wao we ----- ????je alishawah kuwa kiongoz wa umma...
hiki ndicho tukipendacho watanzania mshikamane ktk mambo ya kitaifa !!!big up kikwete naomba fanya na babu seya atoke basi .kaz kwenu wabunge wa ccm mliojivunia wingi wenu bungen kupitisha kasoro za kuliangamiza taifa !!!jk uko juu sana na dhamira yko ya kwel ya...
we mkuda mbowe mfanyabiashara mkubwa kitambo nyerere analijua hilo so usishoboke na pene zake ....kikwete ana biashara gan ??iweje mwanae leo amiliki biashara kubwa nchin baada ya dingi kuwa rais ??nyi ma bongolala sijui mtaficha wap makalio yenu ifikapo 2015...
haswaa!!! we ndo wasema mama na kumheshimu but ukwel anao babako coz ni kimanz chake kitambo ajua walivyoungishana kabla ya kustaafu na kuoana !!ni kwel wote wanajiuza but ktk nyakat tofauti joh !!!!!
wee acha ushamba angalia tuzo za bet mton then ndo umlaumu joh makin kwa kupiga mlegezo .sipotez mda wangu ktk nyuz ya kishamba kma hii coz muanzishaj ni boya na hajui hiphop ni kitu gan but anakurupuka tu akijua nyuz itapata post kibao !!!!fanya yko achana...
ishu sio kuchangia isipokuwa ni mazingira ya uchangiaji .huyu lowasa ndo yule tuliempenda sana pindi wazir mkuu coz alikuwa mchapakaz haswaa !!!then zito jembe la ukwel akatuangaza namna lowasa na richmond yke alivyokuwa akila mil 152 kila siku ya mungu kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.