Waheshimiwa nawasalimu,
Miaka kama 7 iliyopita hapa kazini kwetu nilikua na uhusiano wa kimapenzi na msichana mmoja ambae ndo tulikua tumeajiriwa pamoja fresh from school tukajikuta tumekua wapenzi kutokana na ukaribu wa kazi.Toka nimeanza mapenzi huyu ndo binti niliempenda sana, maana ni mzuri...
Wakuu nawasalimu,
Mke wangu alipata matatizo ya kikazi miaka miwili iliyopita, kwa kifupi alipoteza kazi yake kutokana na makosa ya kiutendaji
katika kushauriana ndani tukafikia maamuzi kwamba nimtafutie mtaji afanye biashara, nimehangaika sana kwa takribani miaka hiyo miwili na nimepata 25...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.