Niombe Talaka?

Niombe Talaka?

kumbe unaweza kumbadilishe mwanaume!!

Nakubali kuwa ukimshamzoesha huyo mwanaume lifestyle fulani usitegemee atabadilika. Kwahiyo kama unasema ni kosa lake mleta mada kuwa hasaidiwi na mwanaune wake sawa.

Lakini ni kosa si la kimaadili tu hata kisheria mwanaume kutohudumia watoto.

Lakini maneno ya kuwa ni nature ya mwanaume kuwa mbinafsi na kutomjali mwanamke wake na kumfananisha na majogoo yatapingwa.

Mandhari imebadilika. Iite kibarbarita lakini ukubali mambo yamebadilika. Na kuhusu wanaume kulea watoto, yamebadilika for the best.

Hizo sheria zenu nyingii na kuanza kutaka zi apply kwenye maisha ya ndoa ndo zinazo waponza

uliza kwa wazazi wako, zipo approach za kutumia na ndo mana nikamwambia aache kulia lia atumie silaha za kike kama hazijui aje nimhabarishe

haya ya kusema mnataka mashindano mtaish miaka 900 mitaka ayo mabadiliko na hamtayapata
wote walioyoyataka wamekuwa loosers na tunawajua hata ka majina

sometimes ukimya ni jibu pia.
Kama umemsoma bi dada vzr mdomo wake ndo unao mpa nafasi ya kuchezea kipigo
 
Izo sheria zenu nyingii na kuanza kutaka zi apply kwenye maisha ya ndoa ndo zinazo waponza

uliza kwa wazazi wako, zipo approach za kutumia na ndo mana nikamwambia aache kulia lia atumie silaha za kike kama hazijui aje nimhabarishe

haya ya kusema mnataka mashindano mtaish miaka 900 mitaka ayo mabadiliko na hamtayapata
wote walioyoyataka wamekuwa loosers na tunawajua hata ka majina

sometimes ukimya ni jibu pia.
Kama umemsoma bi dada vzr mdomo wake ndo unao mpa nafasi ya kuchezea kipigo

Pia tunajua hata kwa majina watu waliocha kufuata njia za kitamaduni ambazo ni kandamizi na wala hazionyeshi mapenzi kwa mwanamke. wapo wanaume kama BAK wanaostaajabishwa na mwanaume mwenzao kuacha mtoto analia masaa mawili hata haamki. na makofi juu kisa kaulizwa kwanini haamki.

njia za kitamaduni zote ni kumsaidia mwanaume tu awe comfortable maishani na aonyeshwe mapenzi yote kwa expense ya maumivu ya mwanamke.

ni juu ya mwanamke kuamua kama anaweza kuishi maisha hayo. au atafute mume mwenye mtazamo sawa na wake. WAKO WENGI. Hata hao "baba zetu".

mleta mada aamue cha kufanya, akitilia akilini ukorofi wa mume wake na hali ya kutokuwa na mapenzi humo ndani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
i agree with the method used to deal with stubborn people. mara nyingi ni bora kunyamaza tu.

lakini hujaongelea swala la yeye kuhuhudumia watoto pekeyake ambalo ndo tatizo kubwa

Indeed he is obliged and accountable to take care of his family in a whole. However, since she did a wrong start during the early days unfortunately this is difficult to fix in a day or a short period. May be she did allow it for the sake of love and being too kind.

The guy could be a self centered or maybe taking advantage of an easy way and that is too bad and might be very hard to change him. But I am sure slowly slowly and with the tools she has (as advised by Gfsonwin) she can make it work.

May be she try to use the ultimate weapon as FF has pointed out earlier.
 
pia tunajua hata kwa majina watu waliocha kufuata njia za kitamaduni ambazo ni kandamizi na wala hazionyeshi mapenzi kwa mwanamke. wapo wanaume kama BAK wanaostaajabishwa na mwanaume mwenzao kuacha mtoto analia masaa mawili hata haamki. na makofi juu kisa kaulizwa kwanini haamki.

njia za kitamaduni zote ni kumsaidia mwanaume tu awe comfortable maishani na aonyeshwe mapenzi yote kwa expense ya maumivu ya mwanamke.

ni juu ya mwanamke kuamua kama anaweza kuishi maisha hayo. au atafute mume mwenye mtazamo sawa na wake. WAKO WENGI. Hata hao "baba zetu".

mleta mada aamue cha kufanya, akitilia akilini ukorofi wa mume wake na hali ya kutokuwa na mapenzi humo ndani.

Namaalizia hivi " MTUMWA HAACHI KUWA MTUMWA HADI AKATAE KUTUMWA"
 
izo sheria zenu nyingii na kuanza kutaka zi apply kwenye maisha ya ndoa ndo zinazo waponza

uliza kwa wazazi wako, zipo approach za kutumia na ndo mana nikamwambia aache kulia lia atumie silaha za kike kama hazijui aje nimhabarishe

haya ya kusema mnataka mashindano mtaish miaka 900 mitaka ayo mabadiliko na hamtayapata
wote walioyoyataka wamekuwa loosers na tunawajua hata ka majina

sometimes ukimya ni jibu pia.
Kama umemsoma bi dada vzr mdomo wake ndo unao mpa nafasi ya kuchezea kipigo

Tv soaps of western culture is a disaster to our society here in our region. Feminism is the ultamate enemy of many marriages and house holds. For example 80% of American marriages are in tatters and shambles due to extra marrital affairs. Almost 50% of married couples in USA are having divorce cases in family courts. Kuwiga culture and tabia sio zetu not good for us and for our society.
 
Kamwe siwezi kuona mtoto analia masaa mawili nami nisitoe ushirikiano katika kujaribu kumbembeleza mtoto. Halafu lijanaume pumbavu on top of that mkewe kachanganyikiwa kwa mtoto kulia masaa mawili badala ya kumsaidia mkewe linaenda kumzaba vibao eti kwa kuulizwa tu mbona hujali mtoto kulia masaa yote haya? Si kila mwanaume anastahili kuwa mume/baba. Mianaume mingine ndivyo ilivyo!!!

pia tunajua hata kwa majina watu waliocha kufuata njia za kitamaduni ambazo ni kandamizi na wala hazionyeshi mapenzi kwa mwanamke. wapo wanaume kama BAK wanaostaajabishwa na mwanaume mwenzao kuacha mtoto analia masaa mawili hata haamki. na makofi juu kisa kaulizwa kwanini haamki.

njia za kitamaduni zote ni kumsaidia mwanaume tu awe comfortable maishani na aonyeshwe mapenzi yote kwa expense ya maumivu ya mwanamke.

ni juu ya mwanamke kuamua kama anaweza kuishi maisha hayo. au atafute mume mwenye mtazamo sawa na wake. WAKO WENGI. Hata hao "baba zetu".

mleta mada aamue cha kufanya, akitilia akilini ukorofi wa mume wake na hali ya kutokuwa na mapenzi humo ndani.
 
kumbe unaweza kumbadilishe mwanaume!!

nakubali kuwa ukimshamzoesha huyo mwanaume lifestyle fulani usitegemee atabadilika. kwahiyo kama unasema ni kosa lake mleta mada kuwa hasaidiwi na mwanaune wake sawa.

LAKINI ni kosa si la kimaadili tu hata kisheria mwanaume kutohudumia watoto.

lakini maneno ya kuwa ni nature ya mwanaume kuwa mbinafsi na kutomjali mwanamke wake na kumfananisha na majogoo yatapingwa.

mandhari imebadilika. iite kibarbarita lakini ukubali mambo yamebadilika. na kuhusu wanaume kulea watoto, yamebadilika for the best.

Kazi ipo hapa
 
Mpe chakula cha night huwa kinasaidia kupunguza hasira na gubu
 
Pole sana. Lazima kutakuwa na kitu nyuma ya pazia. Chunguza kwa makini na shtuka mapema.
 
Kamwe siwezi kuona mtoto analia masaa mawili nami nisitoe ushirikiano katika kujaribu kumbembeleza mtoto. Halafu lijanaume pumbavu on top of that mkewe kachanganyikiwa kwa mtoto kulia masaa mawili badala ya kumsaidia mkewe linaenda kumzaba vibao eti kwa kuulizwa tu mbona hujali mtoto kulia masaa yote haya? Si kila mwanaume anastahili kuwa mume/baba. Mianaume mingine ndivyo ilivyo!!!

Hongera sana Mkuu BAK kwa kuonyesha hisia mwenzi na kujali kwa mama na mtoto....

me wala sina wasiwasi najua wanaume wa type yako mko wengi tu, hata me nimeopoa mmoja.
 
Last edited by a moderator:
Tv soaps of western culture is a disaster to our society here in our region. Feminism is the ultamate enemy of many marriages and house holds. For example 80% of American marriages are in tatters and shambles due to extra marrital affairs. Almost 50% of married couples in USA are having divorce cases in family courts. Kuwiga culture and tabia sio zetu not good for us and for our society.

so the extra marrital affairs are due to feminism??? have the occurences of extramarital affairs actually increased or have people (especially women) just gotten the power to not put up with it anymore??

watu wanaona sifa kusema "ndoa ya miaka 50". doesnt matter huyo mwanamke alikuwa anachezea kipigo miaka 50. doesnt matter mumewe alikuwa **** nje miaka 50. all it matters ni ndoa imekaa miaka 50.

Mwenyewe mama yangu anaenda miaka 35 ya ndoa. maisha yangu yote nimeshuhudia mama akipigwa na kugombezwa na baba. amd shes a very polite woman by nature. ni kwamba hata simuonei huruma tena whether anapigwa au lah kwasababu nishamwambia hastahili yote hayo. excuse ya kuwa yuko pale kwaajili ya watoto is invalid.

miaka yoote kuinamisha kichwa tuu...kunyamaza tuu....kuwa mpole tuu...hudumia mwanaume tuu...mwanaume asiye na shukrani....halafu mbele za watu utafkiri sio wenyewe. NILIKUWA NAKEREKA.

sasa dawa yao ni kusubiri wazeeke, tuwatengahishe.

BULLSHIT. Me nasema, na zivunjwe tu, manake hakuna namna nyingine.
 
indeed he is obliged and accountable to take care of his family in a whole. However, since she did a wrong start during the early days unfortunately this is difficult to fix in a day or a short period.

May be she did allow it for the sake of love and being too kind. The guy could be a self centered or maybe taking advantage of an easy way and that is too bad and might be very hard to change him.

But i am sure slowly slowly and with the tools she has (as advised by gfsonwin) she can make it work.
May be she try to use the ultimate weapon as ff has pointed out earlier.

agreed.
 
Mimi sikwambii ondoka japo kakwambia ondoka,nitafute ni pm
 
Talaka inatolewa kwa sababu moja tu... Uzinzi

Ukioa mtu alietalakiwa na mume wake bado hajafa basi unazini nae. Na yule mwanaume akioa wakati mke wake yu hai basi nae huzini..
Biblia ndio imesema haya maneno sio mimi.
Kaa na mmeo myamalize. Mambo yenu ya ndani hata JF usiyalete
 
Mpaka sasa wewe mwanamke una matatizo sana na huenda una kidomodomo kwa mumeo vilevile hupendi ndugu zake.
 
Kama unaona mlipofikia hakuna penzi omba talaka...
Usitumie watoto kama excuse wakati una uwezo wa kuwahudumia...
Cha kujizeesha kwa mawazo na kulialia maisha yako yote ni nini?

Nshaona wanawake wanaoishi ndoa za mateso wakionekana 10 years older than their age....tunaishi once remember
 
Back
Top Bottom