Mimi nilikuta kani save " Plazinum baby" nilishangaa sana nikamuuliza kulikoni akaniambia acha ivo ivo?🙂
mimi mchepuko wang kan save....MPINI..nika edit nikaandika jina langu...
Nilipo mmaindi na kumchimba mkwara wa nguvu akajitete alisahau kumalizia rever tu yan Baby4rever" mtu mzima nikatulia tulii na akanipa tunda la kati tena aaah.
Habari wana MMU,
Kwa mara ya kwanza nimeona mchepuko kani save 'Ahsante' sijashangaa sana si unajua weekend bhana kaacha simu kaenda washroom nikambeep naona ahsante!!
Wewe wako amekusave vp!?? Hata sijui ana maana gani!? Ila malaya malaya tu!😄
Me kasave zero cjui anamanisha nn