Recent content by lord dibro

  1. L

    JamiiForums Tanzania SoC04 Vitalu vya kuvuna kuni na mkaa kwa uhifadhi wa mazingira

    Great thread.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Tumedanganywa sana, sasa tubadilike

    Wazungu siku kwao inaanza midnight ndio maana huanza kuhesabu saa 00 ikifika saa sita usiku. saa saba ya usiku kwao ndio ina count kama 1hr, yani siku ndio imeanza hapo. Sisi waswahili siku inaanza kukipambazuka, ndio maana tunaanza kuhesabu saa1 asubuh. Wala hamna mambo ya 666 hapo. Sabato ni...
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, kabla ya kuamua kuingia ndoani fanya kama mimi

    Hivi huwa kunakuwa na likizo ya mwaka mzima? Ama mm ndo sielewi haya mambo kiundani?
  4. L

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kukisanua: Hii ndiyo sababu ya Jezi za Simba SC kutozinduliwa hadi leo

    Ha ha ha Tangu lini TPA wakawa wakusanya kodi? Ungesema TRA ningekuelewa. TPA hawaiingii kabisa huko. Endelea kuwajaza mashudu wajinga
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kipi kilichomchosha Mungu mpaka akapumzika siku ya saba?

    Na kipindi anafanya huu uumbaji wa dunia na na vyote vilivyomo ndani yake, yeye alikuwa wap Exactly??
  6. L

    JamiiForums Tanzania Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

    chef whisky huwa inawekwa kwa friji?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    kwa hiyo obama akija bongo kuosha macho ni kukosa uzalendo?
  8. L

    JamiiForums Tanzania Na hizi ndio sababu kwanini nimepunguza trip za kwenda Kanisani

    kama yapi!?? natanguliza shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
  9. L

    JamiiForums Tanzania Nashauri Walimu wa Tanzania kuanzia Kesho wawe wanakuwa hivi wawapo Madarasani huko Mashuleni Kwao

    ukiyumba lazima uambiwe la sivyo haya maandishi yako andikia chumbani usiyalete humu kama hutaki kukosolewa, mtu akikukosoa unarukia kumwambia ni mpumbavu mara mjinga, Sent using Jamii Forums mobile app
  10. L

    JamiiForums Tanzania TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    ha ha ha ha jibu swali mkuu acha kupuyanga. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    JamiiForums Tanzania Nashauri Walimu wa Tanzania kuanzia Kesho wawe wanakuwa hivi wawapo Madarasani huko Mashuleni Kwao

    anajitetea eti ni aina yake ya uandishi, wakat hoja husika haiihitaji mzaha! mtu kapigwa mpaka kufa afu we unaleta masihara? haya ndo mambo ya kuomba selfie msiban Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom