sisi vijana watanzania tunadhambi kubwa sana ya utumwa, tumekuwa watumwa wa fikra,watumwa wa utu,watumwa wa fedha ndio maana hata akitokea mpuuzi tu akatununulia pombe zile za kienyeji lita moja tu, au bia moja basi tutamshukuru huyo mtu kuwa ni mzuri,anauwezo na anafaa kukabidhiwa madaraka...