Wanaume wa dar bana mnasikitisha sana hata kuhudumia wake zenu kwa ufasaha ni tatzo kutwa nzima mnashindia chipsi et na mahind ya kuchoma yaliyotiwa ndim na pilipili... Waambieni wake zenu wawaulize wanawake wenzao wa mikoani shughuli tunazowapa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe umeambiwa na muajili wako ambae ndo boss wako afu unakuja kuuliza huku sasa unazani humu kuna jibu sahihi kwa kazi yako tofaut na kauli ya HR wako?
Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
nina wasiwas na akili yako maana haujui hata kama ni haki ya mtu yeyote kujua anaemtia kizuizin ni nani na anatoka wap na kwa sababu gani..##rudishueelimubure..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.