Mhhh sio kweli
Computer ipo kwenye kila kozi
Na kila faculty ina computer lab yake
Mf. Mimi nilikuwa pale Soed nimesoma computer 2nd year.
Labda kama ulisoma miaka ya zaman jomba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi nilivyofanya interview kwenye taasisi fulani
Walihitajika watu sita na tuliitwa 16
Kwenye placement wakaitwa wawili
Lakini kuripoti kazini wameenda wote sita
Na hao wanne haijulikani wametokea wapi!
Sina tena imani nao kwa kweli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jamani sio kwamba nafatilia status
But ilikuw hivi post ilihitaji watu kumi wakaitwa sita na hiyo post haijawa re advertised
Mimi nilikuwa na not selected mpaku few days ago ilikuwepo hyo not selected
Ghafla jioni hii nmekuta selected for oral[emoji848][emoji848]
Hii inamaanisha nini jamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.