Habari za hapa:
karibu yangu kuna vijana wamefungua kijiwe chao cha boda boda na hii ni hatua nzuri kwani wameamua kujiajiri na ninawapongeza sana. Tatizo lao kubwa ni kwamba katika mazungumzo yao huwa wanatumia maneno makali sana..
Mwanzoni ilinipa shida na nilijaribu kuwashauri bila...
Ni kweli kuwa kuna huduma nzuri mnazitoa,
Ila mnatakiwa kujua kuwa sisi ni wateja wenu na tunaweza kuwahama muda wowote,
1. Vifurushi vyenu vinasumbua ku- extend kama hamna huduma iyo ni bora mkaweka wazi ili tujue, kifurishi kinapoishi tusubiri hadi muda wa kuisha unapofika ndio tuunge tena...
Mimi sipo upande wowote kwa sababu mimi sio mfanyabiasha,
Ila kwa upeo wangu hayo maono yako nadhani yapo kisiasa zaidi... Nilitegemea uje na facts za uchumi wa nchi kwanza, eneo ambalo unafanya biashara pia na aina ya biashara unayoifanya. Hapo ungenigusa. Otherwise chukua mda fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.