mambo zenu wanajf,
Vina wengi huamini kwanba kukaa na hawala ni njia ya kujifunza tabia za m'me /m'mke au hudhani ndo maisha ya ndoa huwa hivyo wakati kumbe si kweli
Hiv kama kijana unawezaje kuishi na mtu usiemjua kwao na hawana ridhaa na wewe,mtu kama huyo mtapanga nn zaid ya kufikiria...
habar wanajukwaa,
Leo nimeona nitoe hofu yangu kwenu. Hofu yangu imekuja baada ya kuona kufifia katika kutafuta uwezekano wa upatikanaji wa mafao kwa mfanyakazi baada ya kuacha ama kuachishwa kazi. Hapo nyuma nilikuwa nashuhudia vijana wengi wakiacha kazi ili wawe wenye sifa ya kuchukua mafao...
Hili kikikuwa swal;am a toilet?akimaanisha yeye sio choo kila mmoja akojolee,inawezekana anae anaempa mambo hivyo hatak achafuliwe na mwengine au kakushitukia wewe hujatulia akikupa utambwaga ndan ya kipindi cha kwanza hivyo itakuja mgharim kutafuta mwengine
Muone dakitar;tiba mbadala kula kitunguu swaum japo *2 kwa siku(asubuh mbegu kumi na jioni mbegu kumi)unaweza kutwanga au katakata kisha sukumia kwa maj
Mwalimu mbona ni title nzue hyo,baba wa taifa-mwalimu,JK -mwalimu (jw monduli),mama Salima Kikwete-mwali,JPM -mwalimu,first ledy wa tz-mwalimu,ukiwa mwali kuna uwezekano mkubwa ukawa rais ama mke wa rais
Lipi jema?hamna jibu kwasab hatuhtaje kuona jema tukalisifia ndo maana tunasema binadamu hana jema,tanzania hamna kiongoz mkubwa kuliko rais lakin tulishuhudia malalamiko makubwa mwaka jana baada rais kwenda kutibiwa nje(kwa tatzo la tez dume) watu wakahoji kaugonjwa kadogo tu ndo aende nje,leo...
Asa angeshindwaje kwamfano,hcho ni kitu chakawaida hasa ukizingatia bao moja tu linatungisha mimba je kila siku ugonge wanawake 3 ndan ya mwez wanakiwa 90 fanua 30 watunge mimba je kwa miaka miwil unakuwa na wanake na watoto wangap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.