Mfitinishaji
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 571
- 597
Mna mda gani MkuuHARUFU
Waambie walalamishi RAHA za ndoa.
Mke sio jiko wala sio mtoto wa kazi.Mke NI muungano wa wapendanao.Uzuri wake NI kukaa mbali Na familia zenu maana familia zina leta maneno mwisho FITNA inaingia kati yenu.
Nimeoa muda mrefu nampenda Mke Wangu sanaaaaa tu. Tunakwenda karibu kila sehemu pamoja ila kuna wakati anataka kuwa Na rafiki zake wa kike Na mimi nakwenda kijiweni.
Simu zetu hazina ufunguo(password) tunaishi Kwa Amani Na saa zote kapendeza