ccm wamefuria na waki2mia mbnu za kisheria na polis wanakuwa na akil fupi maana wanapaswa kulinda raia na mali zao na so kuunda njama za kuua raia na mal zao
Kwahyo wataka wafe watu ambao so maarufu kila m2 kapangiwa tarehe/mwaka/siku/saa/dakika/sekunde atakayoaga dunia kilichopo ni kuwaombea wapumzike kwa amani (R.I.P TYSON)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.