Wahaya waandamana

Wahaya waandamana

Singida wawekewe sanamu lajua Kali na jangwa
 
Dodoma Wajengewe sanam ya Anamakinda akisoma Mswaada,****** akichagua watoa hoja,Lameck Airo akiwa amukunja uso hakui nn kinafanyika humo Bungen.

Joseph wa Mwanza
 
Josêph M Mike;8640400 said:
Dodoma Wajengewe sanam ya Anamakinda akisoma Mswaada,****** akichagua watoa hoja,Lameck Airo akiwa amukunja uso hakui nn kinafanyika humo Bungen.

Joseph wa Mwanza

nimeipenda hi.
 
Wamasai picha ya ng'ombe akitema nini,maziwa?
 
Kigoma wajengewe picha ya dagaa inatema mafuta ya mawese
 
Back
Top Bottom