Recent content by LJ Innocent

  1. L

    Serikali ya Tanzania yashinda kesi ya madai ya dola za Marekani 55,099,171.66 iliyofunguliwa na familia ya Vipula D. Valambhia nchini Marekani

    Issue ni kwamba wamekosea mode ya kukazia hukumu tu na watafaili a proper one.... Tanzania haikukata rufaa, kwahiyo maamuzi ni yale yale kwamba wanatakiwa wawalipe
  2. L

    Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

    Mikataba kwanini isiwekwe wazi na wananchi wenye nchi kuitolea maoni... yaani unataka ukisema ni mbaya tushangilie pia ukisema ni mzuri tushangilie bila ya kunua content? Credibility ya bunge kuwa muwakilishi wa wananchi ilishapoteaga kwakuwa bunge limeidhinisha masuala mengi yasikuwa na...
  3. L

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Naomba mimi niongelee changamoto unazoweza kukutana nazo ili ujipange mapema jinsi ya kuzitatua... 1. Mbegu nzuri ni adimu na gharama. Mbegu zilizo nyingi zimedumaa,hivyo zinapelekea kutumia gharama kubwa za madawwa na chakula ili nguruwe kufikia uzito stahili. 2. Maeneo mengi gharama za...
  4. L

    Rais Magufuli, haina haja ya kuongeza mshahara kwa watumishi wa Umma

    unatafuta comments kwa kupost upuuzi ili watu wakujibu... watu kama nyie ndio mnaoichafua CCM
  5. L

    Unanchukuliaje mdada unaemtongoza leo, kesho anakupa kila unachokitaka kutoka kwake!

    sijazungumzia kuhusu lust "kutamani aka uchu au ugwadu" nimezungumzia "Love at first sight" as a true love na inavyotofautiana na mazoe. i.e Kwa kuwa ambaye mara ya kwanza kukutana nae hukuvutiwa nae kimapenzi ila amekuwa akikusaidia kwenye shida akikutongozaukakubali kuwa nae kimapenzi hiyo...
  6. L

    Unanchukuliaje mdada unaemtongoza leo, kesho anakupa kila unachokitaka kutoka kwake!

    S ii Si kweli, unachanganya Kati ya “mazoea” na “mapenzi”. Kwamba mtu uliyemuona siku ya kwanza hukumpenda ukikaa nae muda ndio utakuwa umemzoea na sio kumpenda. Unapomzoea mtu hauwezi kuona mapungufu yake kwahiyo mapenzi yanayoanzishwa baada ya hapo ni out of gratitude, sympath, na mavitu...
  7. L

    Nyimbo unayoipenda kuliko zote duniani

    *** you-ceelo green All songs za Michael Learns Doops and the hooligan Album by Bruno Mars How could you bring him home- Eamon Breathless- Butterflies- MJ Dirty Diana- MJ Deuces- Chriss b One in a million- Aaliyah Mashalah- Mzee Yusuf ft chizi Benz Lonely- Chidi ft Chukua k
  8. L

    "PRENAP" hapa kwetu Tanzania inawezekana?

    Kwa elewa wangu mdogo ni kwamba Prenup agreement ni makubaliano yanayowekwa na wenza kabla ya ndoa juu ya hatma za mali zao pale ndoa itakapovunjika. Sheria ya ndoa ipo kimya kwenye suala la Prenup or pre marital agreement. Kuna hoja kwamba kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya Tanzania ndoa ni...
  9. L

    Marufuku kuajiri Mhasibu asiyesajiliwa - NBAA yaomba majina ya wote walioajiriwa kinyume cha sheria

    Account package inatoa assistance nzuri kuliko mtu mwenye CPA. Unachotakiwa ni kuwa na bando la Internet na kuanza kupakua app.
  10. L

    Marufuku kuajiri Mhasibu asiyesajiliwa - NBAA yaomba majina ya wote walioajiriwa kinyume cha sheria

    Unajua Bureaucracy nyingine hazina maana; Kwanza kwa nini CPA isiwe incorporated kwenye Shahada ya Uhasibu? Hakuna cha maana kinachofundishwa kwenye CPA ambacho kingeshindwa kuhuishwa kwenye Degree na ndio maana unaona watu wasio na CPA wanafaya kazi hizo kwa uweledi mkubwa bila shida
  11. L

    Huyu Mwanasheria Mkuu wa Serikali mbona simuelewi

    Tatizo kuu linalofanya aonekane kuegemea upande ni suala la appointment yake. Mimi nadhani kama post hii ya uwanasheria mkuu wa serikali ingekuwa inatangazwa watu wanomba bunge linachambua na baadae rais anaidhinisha hii notion ya upendeleo isingekuwepo au isingekuwa na nguvu. Logically Mamlaka...
  12. L

    Rais Magufuli aamuru Madaktari walioomba kufanya kazi Kenya waajiriwe nchini mara moja

    Ina maana Tanzania ilikuwa na Madaktari wa kutosha hadi kufikia hatua ya kuwasaidia Kenya Madaktari 500?
Back
Top Bottom