Rais Magufuli, haina haja ya kuongeza mshahara kwa watumishi wa Umma

GODZILLA,
Hakuna nchi iliyo ajili wananchi wake wote muwe mnaondoa huo ujinga kwanza vichwani mwenu hata ulaya maisha ni haya haya najua ungesoma kidogo ungenielewa lakini unaonekana hata shule kichwan huna zaid ya propaganda na hili la wewe kuto kuwa na elimu nimeligundua kutokana na mawazo yako humu na huo ndio ukweli maana mawazo ya mjinga huwa bayana kabisa.
 
Hakuna mchi iliyo ajili wananchi wake wote muwe mnaonfoa huo ujinga kwanza vichwani mwenu hata ulaya maisha ni haya haya najua ungesoma kidogo ungenielewa lakini unaonekana hata shule kichwa huna zaid ya propaganda
Wewe hata kuandika tu hujui halafu unajifanya mjuvi wa uchumi na maswala yahusuyo ulaya?

Hebu kale machips huko!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
GODZILLA, unazungumzia wafanyakazi gani haswa .nnachokielewa mimi kuna wafanyakazi wanalipwa kuanzia 310000 .na average ya official wengi ni 1.5
 
GODZILLA,
Tatizo la ajira limeletwa na sera mbovu na sio mafisadi,mafisadi angalau walichangia kuongezeka kwa mzunguko wa Pesa nchini hata wasiokuwa na ajira angalau walizipata kupitia kazi mbalimbali za ujasiliamali maana biashara zilitoka walipowauzia wanufaika wa mafisadi maji,vifaa vya ujenzi,vyakula,usafiri,mavazi,starehe,nk.Laki saba labda kama calculated kwa mtu mmoja kwa mwezi lkn watz ni extended family yenye wategemezi ambao ni mzigo wako kuwatupa huwezi.
 
Nadhani umenielewa vyema , makosa ya uandishi huwa yapo tu hata walio soma uandish wa habari huwa wanakosea sembuse mimi nisie muadishi wa habari?
Wewe haufanyi makosa ya kiuandishi.

Ni kwamba haujui kabisa kuandika!

Makosa ya kiuandishi na kutojua kuandika ni vitu viwili tofauti.

Chukulia hiyo kama changamoto ya kurudi darasani na kuanza kujifunza kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada elimu ya uchumi imekupiga chenga sana.

Sisi wafanyabiashara mtaani tunawategemea watumishi wa umma kuja kununua bidhaa zetu. Kutokana na kutopandishiwa mishahara ile purchasing power yao imepungua sana hivyo kupelekea wateja kupungua sokoni.

Wafanyabishara tunataka watumishi waongezewe mishahara ili purchasing power yao iongezeka hence mtaani biashara zichangamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ya purchasing power kwa kiumbe kama GODZILLA atayajulia wapi maskini wakati mtu mwenyewe anawaza majungu tu mda wote
 
GODZILLA,
sasa kama sijui kuandika unajibu kipi ulicho kielewa basi? Maana sidhani kama ungeelewa hata cha kujibu hapa kama ningekuwa sijui kuandika .
 
Tatizo la ajira limeletwa na sera mbovu na sio mafisadi,mafisadi angalau walichangia kuongezeka kwa mzunguko wa Pesa nchini hata wasiokuwa na ajira angalau walizipata kupitia kazi mbalimbali za ujasiliamali maana biashara zilitoka walipowauzia wanufaika wa mafisadi maji,vifaa vya ujenzi,vyakula,usafiri,mavazi,starehe,nk.Laki saba labda kama calculated kwa mtu mmoja kwa mwezi lkn watz ni extended family yenye wategemezi ambao ni mzigo wako kuwatupa huwezi.
Unasubiri mzunguko wa fedha uletwe na mafisadi badala ya watu wote kwa ujumla ambao wana kipato cha kufanya manunuzi kutoka kwa kila mmoja?

Hakuna uchumi wa aina hiyo wa watu wachache (ambao ni mafisadi) kuwa wanunuzi tu.

Mafisadi wanachofanya ni kujilimbikizia mapesa ambayo vinginevyo yalipaswa kuwafikia watu wengi na kwa usawa.

Ufisadi ni pamoja na kujilipa mapesa mengi mtu mmoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kusikia kuwa huyu mtoa mada naye amemaliza kidato cha nne!!!!
Itakuwa ni ajabu kama mtoa post amehitimu sekondari.
Kuna watu bora baba zao wangewapigia punyeto wangepotelea mbali.
Mtaji wa CCM ni ;
1.Wamaskini
2.Wajinga &
3.Wapumbavu.
 
Back
Top Bottom