Ni starehe km zngn, km unafikri ni adhabu kwenu (wanawake) unapotea..., na napata wasi wasi kwa ulie nae labda ishakua adhabu kwa upande wako na sio starehe tena
Jamani wadau, napata shida sana na huyu demu wangu, hataki kabisa habari za ku sex, anadai kuwa mpaka nimuoe ndio kila kitu chake nitakipta tena katika hali ya juu, alafu kitu kitu kinaitwa denda ndio kabisa hataki sasa najiuliza nimuache au vipi? Au labda ndio wife material?
Naombeni...
Advanced diploma sio degree.., ila ni diploma imbayo unaipata moja kwa moja bila kupitia cheti., Na zinatofautiana.., kwa mfano Diploma in Animal health (DAH) SUA., wanasoma miaka miwili., napia zipo zipo advanced diploma kama za CO's (Clinical offers) ambazo ni miaka mitatu
Kwa hiyo Advanced...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.