Recent content by Lix 360

  1. Lix 360

    Wanaume ma bikira tukutane hapa

    Nyie ambao ni mabikra tuambieni mnatunza vp ubikira wenu, nawasiwasi wakati mnaenda kuoga
  2. Lix 360

    Presha imeongezeka, Antoine Griezmann aomba kuondoka Atletico Madrid

    Griezman njoo man u ung'aee
  3. Lix 360

    Amekuoa lakini lazima asote kupata tendo la ndoa

    Ni starehe km zngn, km unafikri ni adhabu kwenu (wanawake) unapotea..., na napata wasi wasi kwa ulie nae labda ishakua adhabu kwa upande wako na sio starehe tena
  4. Lix 360

    Msaada wa vitabu vizuri vya biology, physics na chemistry kwa form 5

    Mpe njia rais tuu., hayo ma understanding biology ya nn sasa.., kitabu kizuri ni BS, hizo nelkon mbwembe tuu
  5. Lix 360

    Msaada wa vitabu vizuri vya biology, physics na chemistry kwa form 5

    Physics soma Chand Biology soma BS Chemistry soma Chand Apo ushafauluuuu
  6. Lix 360

    Hataki kufanya na mimi mapenzi, sijui huyu mpenzi wangu nimuache

    Daaah yani cjui vp hataki kuelewa kbs mara asingizie uvimbe yan duuh
  7. Lix 360

    Hataki kufanya na mimi mapenzi, sijui huyu mpenzi wangu nimuache

    Jamani wadau, napata shida sana na huyu demu wangu, hataki kabisa habari za ku sex, anadai kuwa mpaka nimuoe ndio kila kitu chake nitakipta tena katika hali ya juu, alafu kitu kitu kinaitwa denda ndio kabisa hataki sasa najiuliza nimuache au vipi? Au labda ndio wife material? Naombeni...
  8. Lix 360

    Shule nzuri, Moshi Mjini/Rombo O-level

    Nenda Shauritanga ., Ipo Rombo mashati....., Huduma kwa day students na boarding students pia bei nafuu tu
  9. Lix 360

    Advanced Diploma: Ni Digrii ama nini?

    Advanced diploma sio degree.., ila ni diploma imbayo unaipata moja kwa moja bila kupitia cheti., Na zinatofautiana.., kwa mfano Diploma in Animal health (DAH) SUA., wanasoma miaka miwili., napia zipo zipo advanced diploma kama za CO's (Clinical offers) ambazo ni miaka mitatu Kwa hiyo Advanced...
  10. Lix 360

    Naomba kufaham madhara ya kufeli somo la GS na BAM, kwa mtu kama wa HGE na CBG

    BAM ina umuhimu sna kwa combi yako kama tu utaendelea kusoma degree program inayohusiana na mambo ya fedha.
  11. Lix 360

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Watu wenye vyeti fyeki walikua makazini na kuzua watu wenye vyeti halali kupata ajira....., waondoke ilo wenye vyeti halali wafanye kazi
  12. Lix 360

    Ni kipimo gani unakitumia kumpima mpenzi wako kama anakupenda au anakuzingua ?

    Amna kipimo chochote kinachoweza kupima upendo., kama unampima mpenzi wako unajitafutia maumiv ya moyo tu
Back
Top Bottom