Recent content by Liu Dung Xiuan

  1. L

    Vodacom huu sasa ni uhuni

    Hamia Airtel kama umechoka kuibiwa na hao wezi vodacom, wenzako tumehama kimya kimya bila kulalamika maana hakuna msaada hata ukilalama.
  2. L

    Ijue historia ya ukristo Zanzibar!!!!muhimu sana usikose kuisoma

    Ni historia muhimu sana kwa watu wote kuifahamu.
  3. L

    Zitto: Nashangazwa na Msimamo wa Mbowe Kuhusu UKAWA

    Naona moto unazidi kukolea, ila mkajiandikishe katika daftari la wapiga kura ili mchague viongozi na chama mtakacho si kupiga porojo tu humu JAMII FORUM.
  4. L

    Nani amuazime "mkuu wa kaya" akili kidogo achanganye na zake?

    Ndugu si busara kuchanganya haya masuala na imani za kidini, kwani watu wa "madrasa" hawana haki ya kuishi Tanzania, tuwe makini na kauli zetu, zisijeleta migogoro ya kidini, ushauri wangu tu kwako 'Acha kudharau mtu kwa sababu ya dini au kabila yake utaepusha mengi mabaya kutokea'.
  5. L

    Kikwete yuko Vietnam

    Acha kudhalilisha kabila za watu M.P.U.U.Z.I wewe, mbona watu tunafahamu kabila yako ni kijinga kabisa lakini tumenyamaza, mpinge JK kwa vile utakavyo lakini si kwa jamii yake ya pwani au kabila yake, kama unamuona yeye kwako hafai basi inatosha lakini si kuwadhalilisha watu wa PWANI kwa kuwaita...
  6. L

    Waziri wa fedha wa Marekani, Jacob J Lew awasili Tanzania

    WaTanzania wa leo hawana jema kwa lolote lile liwalo, sasa ni bora kama ukipata nafasi au fursa na wewe ukiwa kama kiongozi usiiachie ni kupiga dili kwa kwenda mbele ukijifanya mwema utaambulia matusi na kashfa na kumbe wewe ulikuwa na lengo jema tu. WITO WANGU KWA VIONGOZI WA TANZANIA...
  7. L

    Habari na Picha: Mapokezi na ulinzi wa Rais Kikwete nchini china, akutana na mabalozi wa Afrika.

    Kwanini CHADEMA, mnamsakama sana JK kama yeye ndiye rais wa kwanza TANZANIA au yeye aliikuta nchi ina uwezo wa hali ya juu na katika kipindi cha uongozi wake ameirudisha nchi hii katika hali duni kabisa? Tuache chuki jamani hata kama ndiyo upinzani lakini siyo wa namna hii. Mnamtukana na...
  8. L

    Kipi kimekupita

    Kutembea peku peku
  9. L

    Kauli za Nape zinachochea vurugu nchini, nani amwajibishe?

    Nape ni mchonganishi sawa na Maalim Seif je, tumuite vipi?
  10. L

    Watoto wenye mzazi mmoja wana aina flani ya laana

    Ni kweli kabisa anaebisha na abishe tu, mimi yamenikuta hadi nimemuacha maana ni balaa, na yeye alilelewa na Mama tu, basi kibri kilimjaa ni hatari anataka akulinganishe wewe na yeye kwa maana hajaona mama yake alivyokuwa anamuheshimu baba yake na kwa kuwa hakuwepo na kila siku nadhani alikuwa...
  11. L

    Jiunge na mfuko wa afya ya jamii!

    Hii huduma kijijini kwetu ipo na watu wameipokea vizuri, nashauri mjiunge ndugu zangu una manufaa huu utaratibu hasa kwa familia zetu huku vijijini.
  12. L

    Ukweli kuhusu Wanamtwara na Lindi kufaidika na gesi

    Mtu yeyote yule mwenye akili timamu lazima hili limuingie akilini, ila kuna wapuuzi wafulani hivi huwezi kuwaona kuja kuchangia katika jambo nyeti kama hili. Ila kwa mambo ya kipuuzi hukosi kuwaona wakija na matusi na maneno meengi ya utovu wa nidhamu. Ila kwa hili umeona mbali sana Mkuu Heinrich.
  13. L

    Mwekezaji wa treni za umeme ana kashfa nzito

    Duh! Umenifurahisha sana hapo katika CCKT, maana siku hizi Wabongo ndiyo mtindo kupinga kila kitu chema, na kuunga mkono mambo ya kipuuzi yaani waTanzania wa leo ni mashaka matupu, kila leo wanalalamika foleni jijini DSM, leo ufumbuzi unaelekea kupatikana wanaanza maneno maneno.
  14. L

    Hakuna chama cha upinzani Tanzania kinachoweza kuunda serikali

    Ndiyo, Ee eh ndugu umejuaje kama mimi mganga njaa ?
Back
Top Bottom