Jiunge na mfuko wa afya ya jamii!

Jiunge na mfuko wa afya ya jamii!

Na vipi kuhusu NHIF{National Health Insurance Fund} kwa mm mwanafunzi wa chuo,ningependa nijue taratibu za kujiunga,faida na hasara zake.
Natanguliza Shukrani wakuu.
 
bado mifuko hii utekelezaji wake wa kutoa huduma unasusua pale unapotaka huduma hali yakuwa umeshachangia huku wilayani
 
Mbona tumejiunga na mifuko mingi tu lakini ukiugua ukifika hospitali hamna dawa sasa kuna haja ipi?
 
Hii huduma kijijini kwetu ipo na watu wameipokea vizuri, nashauri mjiunge ndugu zangu una manufaa huu utaratibu hasa kwa familia zetu huku vijijini.
 
Hu mfuko ni utapeli tunakatwa hela huku hatupewi huduma tunambiwa tukajinunulie dawa.kuna haja gani yakuuchangia hu mfuk
 
hakika mfuko huu ni mkombozi, ukizingatia kuwa maradhi yanaweza kukupata wakati wowote, hvyo unakuwa una uhakika wa kupata tiba tatizo ni utekelezaji wake ni mgumu sana as long as watu wanakosa huduma pa1 na kumiliki bima za afya na pesa zetu wanachukua that is not fair!
 
Nimejiandikisha kilindi tanga.. tangu july 2014 hadi leo napigwa tarehe kupewa kitambulisho why?
 
Asante mtoa mada
je ikitokea kulazwa je mgonjwa wa CHF atalazwa daraja la kwanza kama ilivyo anaetumia NHIF...????
 
Habar! Me nataka kujiunga natakiwa niwena vielelezo gan? Naomba mwongozo tafadhar. My no. 0712 230 168
 
Kwa mtu binafsi anaweza tumia NHIF na ni kazi gani kujiunga?
 
Hii mifuko ya jamii muda mwingine inaokoa sana
 
Back
Top Bottom