distigusting how one reads to reply not to understand...well hujanielewa nisome upya. ondoa neno kujinasibu sio mahali pake...kujinasibu ni kujisifia kujitamba nami sijafanya hivo hapa.
unaamini kwamba mtu wa karibu ambaye marehemu alimuandika ndio amevuja taarifa? hufikirii mtu wa karibu anaweza kuwa mwanae au ndugu wa damu kabisa tumeona ana ndug zake dar tena sio wa kinyonge wale blood relatives kuna daktari pia u think mtu kama huyo amepewa taarifa akapigia watu wa media...
Mmeamshwaje wakuu poleni na mvua zinazoendelea kutufikirisha.
Jana niliangalia interview ya Milad na baba wa Gadna nachelea kusema baba yule yupo kwenye mtikisiko na msikitiko mkubwa sana.
Kilichonifikirisha na kuniuma ni yeye kusema siku hiyo alimtafuta mwana akamkosa akaenda jumuiya akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.