Recent content by Litro

  1. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    ajabu ni baba yako kupata taarifa za kifo chako kupitia mtandaoni.
  2. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    hakuna kidogo kama matter kor yako mkuu na sijayamind hata
  3. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    nimeishia hapa. Jifunze kuandika mkuu wangu huko tunakoendea bila kujua kuandika unaweza ukakosa cha kufanya kabisa.
  4. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    distigusting how one reads to reply not to understand...well hujanielewa nisome upya. ondoa neno kujinasibu sio mahali pake...kujinasibu ni kujisifia kujitamba nami sijafanya hivo hapa.
  5. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    nimesema angalau kwa ajali inaeleweka. lakini pia alipigiwa mkeo sio kwamba walikupost insta si ndio ee
  6. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    unaamini kwamba mtu wa karibu ambaye marehemu alimuandika ndio amevuja taarifa? hufikirii mtu wa karibu anaweza kuwa mwanae au ndugu wa damu kabisa tumeona ana ndug zake dar tena sio wa kinyonge wale blood relatives kuna daktari pia u think mtu kama huyo amepewa taarifa akapigia watu wa media...
  7. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    hufikirii kuwa hata hao ndugu walipata taarifa huko pia? kiini kipo kwa aliezitoa taarifa pale hosp alizipeleka wai
  8. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    anajua na ameenda akaa nae na akamuuguza alipopata nafuu akarudi nyumbani.
  9. Litro

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    Mmeamshwaje wakuu poleni na mvua zinazoendelea kutufikirisha. Jana niliangalia interview ya Milad na baba wa Gadna nachelea kusema baba yule yupo kwenye mtikisiko na msikitiko mkubwa sana. Kilichonifikirisha na kuniuma ni yeye kusema siku hiyo alimtafuta mwana akamkosa akaenda jumuiya akiwa...
  10. Litro

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    matter kor yako laini laini mtoto
Back
Top Bottom