Recent content by Lishe01

  1. L

    Watanzania nani katuroga?

    Hakika jambo hili linasikitisha na kufikirisha sana. Jana nilikuwa na mtu akasema, hivi kwanini Lisu anahangaika, si atulie yeye na familia yake? Nilimtazama kwa hasira, kisha nikamwambia, nchi yetu inaangamia kwa sababu ya ukimya wa watu kama yeye. Nikaondoka. Tunahitaji kubadilika kifikra.
  2. L

    The government of Tanzania charges the chairman of the main opposition party, Tundu Lissu, with treason in court

    The treason charges against Tanzanian opposition leader Tundu Lissu appear politically motivated and lack substantive legal basis. His call for electoral reforms under the slogan "No Reforms, No Election" aligns with democratic principles and does not constitute treason. Lissu's history of...
  3. L

    Haya ndiyo mambo yanayoipa nguvu kampeni yetu ya "No reform No Election", CCM kazi mnayo

    No reform no election. Tunahitaji mabadiliko makubwa.
  4. L

    DRC : Waasi wa M23 waripotiwa kuelekea kuunda mfumo wao wa fedha

    Mwenyewe niliona anavyoongea kwa heshima na taadhima kuomba Rwanda asiivamie Burundi.
  5. L

    Interview TRA 2025 (Walioitwa kwenye Usaili 29 na 30)

    Mbona orodha ndefu sana kwani TRA wanataka watu wangapi?
  6. L

    Niulize chochote nikujibu

    Mbona nipo hapa.
  7. L

    Niulize chochote nikujibu

    Weekend hii unapanga kuchepuka na wanawake wangapi?
  8. L

    General wa FARDC Auawa huko Uvira

    So sad news
  9. L

    Unarudi kitaa ulipokulia unakuta washkaji wote hawapo. Zimebaki kumbukumbu tu za Kijiwe chenu. It's a very painful moment.

    Mbona ume-project miaka mingi kaka. Sema mwaka 3500 tu tosha kusahaulika kwa wengi wetu.
  10. L

    VC wa UDSM, Prof. Anangisye ameachana na ukapera

    Hii mada haijaisha mpaka tujue kama aliyempa haikjsimama na sasa je ndoa hiyo bado inaendelea?
  11. L

    PreGE2025 Othman amshangaa Wasira kupotosha yaliyotokea Angola, asema ameipaka matope Serikali

    Na wewe huna tofauti na Wassira. Dish lako pia limeyumba
Back
Top Bottom