Tena katika jambo lililonishangaza nilipofika arusha kwa mara ya Kwanza basi ni hilo yaan nahisi vile vi hiace vilivyoondolewa dar ndo vikaletwa Arusha
Kwa msimu huu pia swala la mdhamini bado zitakua ni porojo tu maana wadhamini walishakataa swala la ligi yetu kuwa na timu 20 wao walitaka zipungue atleast ziwe 16
Yaan kwa hali aliyokua nayo huyo mpiga penati huo mpira hauwez kufika hata golin..
Hapa nakumbuka mashindano ya mrema cup jimbo la vunjo muheshimiwa MREMA alipewa mpira apige penati ili afungue mashindano alafu golini hamna kipa ila cha kushangaza muheshimiwa alipopiga ile penat mpira uliishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.