Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,046
- 2,131
Habar za leo wakuu kama kichwa cha habar kinavojieleza sina mengi nataka kujua mdhamini mkuu ligi Bara ni nani maana naona siku zina kwenda hatangazwi kama ambavo tuliiambiwa atatangazwa siku chache kabla ya ligi kuanza sasa imeshaanza maana mchezo wa ngao wa jamii umechezwa kuashilia kufunguliwa kwa ligi kuu bara naomba mwenye namba za karia na wambura wawapigie muwaambie hatutaki mambo kama ya mwaka jana ligi. Mpka imeisha bila mdhamini mkuu,, kama wameshindwa kuongoza Tff basi watupishe.