Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Feb 18, 2017
63
62
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.
 
Coaster kupotezeana muda tuu. Ukikuta coaster inapakia pale stendi ndogo na ukawa abiria wa kwanza itakuchukua dk 45 kujaa kama ni mchana. Na kusafiri hadi usa itakuchukua tena lisaa zima. Hiace inachukua dk 10-15 kwa mchana kusafiri hadi usa itachukua dk 30. Sababu kubwa ya coaster kuchelewa ni kubeba watu wengi zaidi ya hiace. Bora nipande Hiace sio coaster.
 
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.


Kuna daladala nimesahau jina ila nitaitafuta nilete na picha yake hapa, milango inafungwa kamba ya manila
 
Coaster kupotezeana muda tuu. Ukikuta coaster inapakia pale stendi ndogo na ukawa abiria wa kwanza itakuchukua dk 45 kujaa kama ni mchana. Na kusafiri hadi usa itakuchukua tena lisaa zima. Hiace inachukua dk 10-15 kwa mchana kusafiri hadi usa itachukua dk 30. Sababu kubwa ya coaster kuchelewa ni kubeba watu wengi zaidi ya hiace. Bora nipande Hiace sio coaster.
Mkuu mara ya mwisho kwenda kilombero na stendi n lini maana sa hv coster xinaoperate kama daladala na watu wanapanda hizo kuliko daladala kama hapa stendi ndogo upande wa kutokea kwenda usa na ngaramtoni kuna coster mbili moja inaenda hafi kingori nyingine n kikatiti zikija hata iwe mchana watu wanakimbilia kuliko ambande daladala na zinajaa haraka maana watu wanaona n bora kuliko hiace kwanzia kubanana mpaka hewa m niko arusha kama mwezi tokea nimerudi ila sikuwa najua kuna coster maana n chache na zinabeba haraka watu hazilali stendi zaidi ya 10min ila jana nimekesha stendi ndogo ndio nkaona kama mbili na kuna za atomic za engutoto olasiti inshort kwenda ngaramtoni na kwenda chekereni na kijenge na majengo ndio sikuona coster zilizoanza izo root ila coster sa hv zipo na n dili kamausiku coster za moshi zinapiga root ya morombo na usa
 
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.
Mkuu tayari sa hv zinapiga root ndio zimeanza kusainiwa na sumatra kupiga root za ndani ko its a matter of time zitachukua nafasi ya hiace hata ukija hapa mjini ukaenda stendi ndogo nakilombero kaa kama lisaa utaona hadi za kisongo atomic iko moja nimeiona leo
Mkuu mara ya mwisho kwenda kilombero na stendi n lini maana sa hv coster xinaoperate kama daladala na watu wanapanda hizo kuliko daladala kama hapa stendi ndogo upande wa kutokea kwenda usa na ngaramtoni kuna coster mbili moja inaenda hafi kingori nyingine n kikatiti zikija hata iwe mchana watu wanakimbilia kuliko ambande daladala na zinajaa haraka maana watu wanaona n bora kuliko hiace kwanzia kubanana mpaka hewa m niko arusha kama mwezi tokea nimerudi ila sikuwa najua kuna coster maana n chache na zinabeba haraka watu hazilali stendi zaidi ya 10min ila jana nimekesha stendi ndogo ndio nkaona kama mbili na kuna za atomic za engutoto olasiti inshort kwenda ngaramtoni na kwenda chekereni na kijenge na majengo ndio sikuona coster zilizoanza izo root ila coster sa hv zipo na n dili kamausiku coster za moshi zinapiga root ya morombo na usa
 
Tatizo kubwa la Chuga ni aina ya wasafiri, hao ndiyo wanaofanya ugumu kwenye kusafiri.

Wale wazawa wawili wale, hawana haraka na maisha ukimkuta stendi anaenda ila usipobembeleza kupanda hiece aendi, sasa mtu kama huyu unadhani anaelewa maana ya jiji kukua hata ukimletea hizo coaster?
 
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.
Kweli Jombaa,mimi ni mkazi wa Arusha,kusema ukweli huu usafiri wetu unahitaji mtu awe flexible,uwe na uwezo wa kujikunja na kukunjuka. Ukiwa rigid inakula kwako na pia ikitokea ajali kutoka ni kudra za Mwenyezi Mungu.
 
Tena katika jambo lililonishangaza nilipofika arusha kwa mara ya Kwanza basi ni hilo yaan nahisi vile vi hiace vilivyoondolewa dar ndo vikaletwa Arusha
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.
 
Tatizo kubwa la Chuga ni aina ya wasafiri, hao ndiyo wanaofanya ugumu kwenye kusafiri.
Wale wazawa wawili wale, hawana haraka na maisha ukimkuta stendi anaenda ila usipobembeleza kupanda hiece aendi, sasa mtu kama huyu unadhani anaelewa maana ya jiji kukua hata ukimletea hizo coaster?
tehteh mkuu chuga sio dar usafiri mpaka upitie dirishani,na kupigana vikumbo....
huku daladala inakufuata ulipo sio dar unaifuata daladala.......,,
 
Coaster kupotezeana muda tuu. Ukikuta coaster inapakia pale stendi ndogo na ukawa abiria wa kwanza itakuchukua dk 45 kujaa kama ni mchana. Na kusafiri hadi usa itakuchukua tena lisaa zima. Hiace inachukua dk 10-15 kwa mchana kusafiri hadi usa itachukua dk 30. Sababu kubwa ya coaster kuchelewa ni kubeba watu wengi zaidi ya hiace. Bora nipande Hiace sio coaster.
Kweli watanzania tumezoea shida mpaka zimekuwa kama sehemu ya utamaduni wetu. Ni hivi: town buses kwenye mji wowote huwa zinakwenda kwa ratiba maalum. Mfano ikipangiwa kuondoa kituo A saa moja na kufika kituo cha mwisho saa mbili, basi ni lazima ifuate hiyo ratiba. Haijalishi kama gari limejaa au lina mtu mmoja. Huu ndiyo mfumo wa mabasi ya mjini kote duniani. Hata Dar zamani enzi za UDA ilikuwa hivyo. Kinachotakiwa ni mamlaka kuhakikisha huu utaratibu unafuatwa. Kama mtu hataki basi akabebe samadi ambapo gari husubiri mpaka lijazwe!
 
tehteh mkuu chuga sio dar usafiri mpaka upitie dirishani,na kupigana vikumbo....
huku daladala inakufuata ulipo sio dar unaifuata daladala.......,,
wale tuliotoka chuga tukahamia dar tunacomment wapi maana mara ya kwanza kuona watu wanapita dirishani nilishangaa aisee😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom