Nakubaliana na wewe, Kama siyo kifo labda Kama previous husband wake amepata ukichaa wa akili nakushindwa kutimiza majukumu yakindoa na ikathibitishwa kitabibu na Jamii ikawa inaona hali yake.
Jordan Lugimbana alikuwa kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2001 alilala Liparamba, miaka ya karibuni aliwahi kuwa mkuu wa wilaya moja Dar es salaam bado Yuko hai japo Kwasasa simsikii, Hizo stori za vijiweni tuu.
Angalia Kwanza kama shule alopangiwa ina combination unayotaka asome anaweza kwenda kubadilisha Shuleni na wakuu wa Shule wamepewa utaratibu huo. Kama shule alopangiwa haina combination unayotaka asome fanya mawasiliano TAMISEMI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.