napata ahueni kidogo, cause most of time najikeep busy na kazi, muda wa break natazama funny videos, memes, nawatch celebrities updates, kidogo akili inatulia, naspend muda na marafiki zangu nyakati za weekends kama leoAny updates mamy??? Vipi saivi kimahusiano akili imetulia??



Aisee!!But sijui atakayenishawishi kuwa kwenye mahusiano ataanza vipi na ataongea nini nimuelewe
kidogo narejea uzima wangu
Ukiona bado unayapa kipaumbele ujue bado hayajakutenda vizuri. Subiri subiri yakutende utajikuta wewe mwenyewe umekuwa zaidi ya suguNahitaji msaada wenu ndugu zangu,
Ni jinsi gani naweza fanya kuachana kabisa na kitu kinaitwa mapenzi? Yaani kamwe nisifikirie mahusiano kabisaaa? Maisha yangu yaliyobaki niwaze tu pesa niifurahishe nafsi yangu.
Kama kuna njia zozote za kisaikolojia naombeni mchango wenu, yaani nisipende tena, hata nisipendwe tena. Hata kama ni kwa dawa za kienyeji au waganga niko tayari
Kuliko kuumiza moyo wangu, mara leo furaha kesho uzuni, kesho kutwa mateso, bora niyafurahie maisha kwa pesa tu, vinywaji tu na viwanja, kuliko unaliamini jitu, unalipa moyo wako, unamnyima mwingine ukiamini kuwa hana malengo nawe, anakulilia, mwisho wa siku unawakosa wote na vidonda juu
Kwa wale ambao mmefanikisha kuishi wenyewe na amani ya moyo msaada wenu tafadhari
Nilijuaga wanao haribu jf kwa upuuzi ni hawa joined 2021&22 kumbe hata ninyi wakongwe pia mna upuuzi hivi? Sasa iko wap faida ya kudumu JF kama unatoa ushaur wa kipumbav kama huu? Hawa joined 2022 unadhani utawaambia kuwa humu ni site ya great thinkers wakakuelewa? tubadirike jmnAnza kusagana 1X15 kwa mwezi mmoja.
Hutatamani dushe kamwe.
Nikiona comment yako lazima niview avat yako niwacheki hao jamaa kwenye Laptop.Anza kusagana 1X15 kwa mwezi mmoja.
Hutatamani dushe kamwe.