Recent content by Lipa Kwanza

  1. Lipa Kwanza

    Maskini Dk. Ummy Mwalim amemkosea nini Samia

    Huyo ni Mhe. Balozi mtarajiwa wa Nchi ya Japan
  2. Lipa Kwanza

    Maskini Dk. Ummy Mwalim amemkosea nini Samia

    Ondoa hofu huyo ni Mhe. Balozi wa Japan
  3. Lipa Kwanza

    Manji vs Yanga Sc.

    Siku moja niliwa sema siku Manji akisusa gafla kuto uhisani Jangwani ndio mwanzo wa matatizo... jamaa mmoja akajib kwa kejeli kwani Manji nani ... Ysnga ilikwepo kabla ya Manji na itaendelea kuwepo hata bila ya Manji... sasa acha kupiga mayowe acha watu waone wenyewe...
  4. Lipa Kwanza

    Nini kitatokea endapo utakosa kulala kwa muda wa siku 15?

    Haiwezekani hata kdg ukipumzika tu kdg unakwenda na maji...
  5. Lipa Kwanza

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mbona locol channel nazo mnazifunga wakati TCRA waliagiza ziwe free...?
  6. Lipa Kwanza

    Tuliulizwa swali, "JamiiForums inakuingizia shilingi ngapi?”

    Kwani ww ukibadilishana mawazo na mtu unaingiziwa sh. Ngapi....?
  7. Lipa Kwanza

    Wawekezaji Afrika Mashariki sasa wageuzia macho Kenya na Ethiopia na kuzikimbia Tanzania na Uganda

    Wanajarib kucheza na saikolojia ya wabongo.... watapata taab sana....
  8. Lipa Kwanza

    Wanawake mabikra tukutane hapa

    wakati mwafaka ndo sasa.....tutafutane basi, nadhani wewe utakua mwenzangu
  9. Lipa Kwanza

    Kwanini ukimtongoza Mwanamke msibani unafanikiwa haraka?

    we ni kiwembe sana maisha yako yako hatarini acha hizi.....
  10. Lipa Kwanza

    Mkuu wa mkoa mh mecky sadiki amsihi ndg manji kuuachia ufukwe wa coco beach

    aliyemuuzia kwanza awekwe ndani kisha huyo manzi atatorok
  11. Lipa Kwanza

    Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

    Duh......mimi hapana ukikurupushwa vaa hata nyepesi ndg yangu utaja umbuka...
Back
Top Bottom