Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

wasafi tv chanel itaanza kuonekana lini kwenye king'amuzi cha startimes.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
mie nimelipia wiki iliyopita lakini naambiwa smart card error zilionesha siku moja tu na ni baadhi ya chanel tatizo nini nini hasa!! nipo songea Ruvuma
 
mie nimelipia wiki iliyopita lakini naambiwa smart card error zilionesha siku moja tu na ni baadhi ya chanel tatizo nini nini hasa!! nipo songea Ruvuma

habari yako, kadi reader au kadi yako inashida, tafadhari chomoa kadi yako, pale kwenye 'chip' pukuta kwa kitambaa laini na kikavu, kisha rudishia ndani, endapo tatizo litaendelea tafadhari fika ofsn zetu zilizokaribu nawe na king'amuzi chako
 
nina kisimbusi cha startimes kile cha enzi za mwalimu nilikiweka ndani bila ya kukitumia muda mrefu sana maana nilinunua kipindi kile ndio vinaanza sasa nikakikumbuka miezi miwili iliyopita nikaja hapo ofisini kwenu bamaga mkaniambia kuwa card inatakiwa kubadilishwa ila kwa bahati mbaya ziliwaishia siku hiyo hivyo nikashindwa kupata hiyo kadi mpya,ila mkaniambia kuwa nikiweka kifurushi nitaziona channel kupitia kadi hiyohiyo mpaka zikiwa tayari zimefika ntakuja kulipia hivyo nikanunua kifurushi nikarudi zangu nyumbani,kama mnavyojua nyie startimes hamuishi mauzi niliporudi nyumbani nikaunganisha kisimbusi ktk tv daaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhh niliambulia kuona local channel tu ila kile kifurushi mpaka kinaisha sijaona channel nyingine zozote nikaamua kukiweka tena lockup ila leo nimefikiria kuwapa last chance nataka nikitumie sasa niambieni hiyo kadi bei gani ili kama namudu gharama nije kuchukua muda huu maana nataka nione worldcup mwezi huu maana nyie kwa kubadili bei ghafla mnaongoza


namba ya smart card ni 020 3593 9630


kisimbusi changu ni cha antena

tafadhari tunaomba ututumie namba yako ya simu, namba ya simu iliyosajiliwa tunajaribu kukupigia haupatikani, king'amuzi chako kinaonyesha hakina shida yoyote. tutumie namba yako tutakupatia fundi wetu bure!
 
Nyie startimes huduma zenu hadhirizishI kabisa yaani mtu kin'gamuzi anapata chaneli nyingi za ndani kushinda mwenye dishi?
Tve e kwenye dish hakuna
Tv1 kwenye dishi hakuna na sasa hata wasafi kwenye dishi hakuna kwani sisi wenye vin'gamuzi vya dish tumewakosea nn na ukizingatia malipo ya dishi ni makubwa zaidi ya antena....***** ngoja kombe la dunia liishe
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Nimenunua package ni siku ya 4 sasa imepita lakini hakuna chaneli zinazoonyesha zaidi ya TBC pekee .

Sms yangu ya uthibitisho ni hii.

"Malipo ya Ankara TSh 12,000. Yamefanyika kikamilifu StarTimes , No. ya ankara: 700100, No ya utambulisho: 02035263877.Salio jipya TSh 1,474, Ada TSh 0. VAT TSh 0.Muamala: 80853123712.03/06/18 14:42. Hongera! Umelipia TZS 12000.00 kupitia 02035263877 kwa Sibuka+Mambo.Umepata weekly malipo ya TZS 5500.00."


Tatizo ni nini haswaaa.?
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
ndugu me king`amuzi changu cha dish lakin na shangaa tangu lime anza kombe la duni tv ye2 upande wa king`amuzi inakuwa na chenga tatizo nn??
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.

nimedownload your app, nimelipa 3500/- tsh, nilifanikiwa kuangalia siku 2 za mwanzo baada ya hapo hakuna kinachofunguka,
WhatsApp Image 2018-07-03 at 10.36.54 AM.jpeg
WhatsApp Image 2018-07-03 at 10.36.54 AM.jpeg
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
me ninge omba kufahamu kati ya king’amuzi cha dish na antena kipi kina thaman mana nashangaa chanel nzuri zime jaa kwenye king’amuzi cha antenal
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Mimi ni fundi wa kufunga ving'amuzi vyote nipo rukwa ZIWA TANGANYIKA; maoni yangu; naomba ninapo hitaji kufanya restore factory, eneo liwe wazi isiwe lazima kuomba msaada toka kwenu, maana mnakuwa bize sana kiasi cha kuchelesha mambo kwa wateja.
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Naomba kutumiwa namba iliyolipia hiki king'amuzi chenye namba hii 02035679173 kwa mara ya mwisho? mimi naitwa george allen msumai nilisajili na namba 0716309408,msaada tafadhali
 
Tatizo cha king'amuzi changu ,mfano n taarifa ya habari yale maandish chini skrin yanatokea miguu ju kichwa chini
nipo dar
namba ya kifaa n
02035243682
 
Back
Top Bottom