Hivi takukuru mko wapi mpaka haya maswala yanafanyika, hongo kipindi cha uchaguzi kinawanyima haki wananchi kuchagua viongozi sahihi wa kuleta maendeleo kwenye majimbo
Upo sahihi ndugu yangu, chamsingi ni kuandaa bidhaa bora ambayo inaweza kuleta ushindani kibiashara, pia upate wasambazaji bidhaa kwaajil ya marketing. Mimi nipo kwenye hiyo kazi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama mikate, maandazi ya kuwoka, skonsi. Under private school . Hiyo ni special for...
Si kweli haki za kibinadamu bado hazizingatiwi, hii ni kutaka kuficha madhambi ili ionekane Tanzania ni nchi ambayo ipo salama siku zote [emoji24] hapana
Unyanyasaji umekithiri sana mikoani ndio balaa, mitaani kuna wadogo zetu ambao walitakiwa kuwepo mashuleni leo wamekuwa wafanyakazi wa ndani/...
Ipo fursa ya kufanya ni biashara ya kuuza mayai yakuchemsha.
Tray moja ni elf8 = 30pc eggs. Ukichemsha mayai na ukauza kwa mia5 for one peace unapata elfu15
Ukitoa mtaji wa elf8, mkaa, chumvi elf1 na mia2. Faida ni elf5 na mia8 kwa tray moja. Cha msingi tegeneza ajira kwa vijana wew unawalipa...
Ndugu yangu inaonyesha dhairi maeneo ya Tanga unayafahamu na kuyaelewa.
Kwa upande wa soko huko kupo vp; mkulima akishavuna mazao tayari yameshasafishwa kabisa huwa anatafuta soko yeye mwenyewe au wanunuzi wanakuja kununulia hapo hapo shambani?
Biashara ya nafaka inalipa sana, endapo kama unausafiri wa kusafirisha hizo bidhaa. Mchele, nafaka kama maharage, mbaazi, kunde, choroko, Dengu nzima pamoja na njugu mawe. Zinalipa sana kwa utapata wateja wa mashuleni hasa hiz private school [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.