Recent content by lindunduru

  1. lindunduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sheria ya Mke mmoja,Maoni tafadhali

    Kwa nini?
  2. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

    Unafananisha thamani ya mke na mambo ya kijinga? What is Kazi? Mlete mkeo Dodoma uishi naye
  3. lindunduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sheria ya Mke mmoja,Maoni tafadhali

    Za leo wakuu, Nafikiria kupeleka hoja binafsi bungeni, ili kwa pamoja Bunge liazimie na hatimaye kuwe na sheria ya mke mmoja tu. Sababu ni 1. Kupunguza maambukizi ya virus vya UKIMWI 2. Kupunguza idadi ya watoto wa mtaani, kwa kuwa akina baba wengi wakienda nje ni hit and run 3. Kufanya taifa...
  4. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Tabia kuu saba za watu waliofanikiwa kimaisha

    Basi chuma ulete wamemuwahi
  5. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Tume ya Haki Jinai: Kila Mtanzania awe na namba moja ya UTAMBUZI maisha yake yote

    Niliyawaza haya miaka mingi, Kitambulisho kiwe kimoja tu, ukichanja unapewa option ya taarifa unayoitaka 1) uraia 2) Ajira 3) Makazi 4) Bima ya Afya 5) Uanachama wa chama cha siasa 6) Taarifa za mpiga kura 7) .............. 8).......//. N.k
  6. lindunduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

    Najuaje mkuu?
  7. lindunduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

    Hiii sasa nahisi ndiyo ya kuifanya,na nitafanya hadjarani
  8. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Kumbe kula ugali nusu kilo ni jambo la kushangaza

    Tungekuwa mbali kwenye nini?
  9. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Kumbe kula ugali nusu kilo ni jambo la kushangaza

    Tungekuwa mbali katika nini?
  10. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Hii ni dharau kwa Baba wa Taifa, kama hatuwezi kuiheshimu sanamu yake, tuitoe

    Unachokiongelea ni yeye alikiasisi
  11. lindunduru

    JamiiForums Tanzania Hii ni dharau kwa Baba wa Taifa, kama hatuwezi kuiheshimu sanamu yake, tuitoe

    Duuuuuuuu,kuna kitu unasema hapa.
  12. lindunduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kazi ya Ukondakta: Usipoidhibiti nafsi, zipu haitofunga

    Mna kashfa zenu lakini,wagonjwa wenu hawasilimiki
Back
Top Bottom