Za leo wakuu,
Nafikiria kupeleka hoja binafsi bungeni, ili kwa pamoja Bunge liazimie na hatimaye kuwe na sheria ya mke mmoja tu.
Sababu ni
1. Kupunguza maambukizi ya virus vya UKIMWI
2. Kupunguza idadi ya watoto wa mtaani, kwa kuwa akina baba wengi wakienda nje ni hit and run
3. Kufanya taifa...
Niliyawaza haya miaka mingi,
Kitambulisho kiwe kimoja tu, ukichanja unapewa option ya taarifa unayoitaka
1) uraia
2) Ajira
3) Makazi
4) Bima ya Afya
5) Uanachama wa chama cha siasa
6) Taarifa za mpiga kura
7) ..............
8).......//.
N.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.