Recent content by Lindongo

  1. L

    Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

    Msaidie aondoke kwenye maisha hayo
  2. L

    Wanaume katika saikologia ya ngono

    Úchambuzi nzuri. Huu ni ukweli
  3. L

    Ana miaka 30 ana watoto watatu nje ya ndoa

    Wivu ni tatizo kwenye mahusiano
  4. L

    Nioe yupi kati ya hawa

    P.a. namba 2
  5. L

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Asante sana kwa somo nzuri, fangasi ni ugonjwa unaowasumbua wengi. Naomba kufahamu tiba ya ugonjwa huu.
  6. L

    Chaguzi ndogo 16/6 na 14/7 majumuisho na tathmini

    Nakushukuru sana kwa uchambuzi makini unaonyesha uhalisia wa siasa za hapa Tanzania na jinsi demokrasia inavyokua kwav kasi. mabadiliko yanayotokea ni ishari nzuri kwa vyama vya siasa. wajitahidi kujipanga vizuri kwani fikra za wanananchi zinabadilika.
  7. L

    Ving'amuzi vya Zuku ni anti-mvua

    ninashukuru kwa ufafanuzi wako mzuri maana engi tulikuwa hutujui tunadhani ni tatizo la kampuni kumbe ni tataizo la mfumo wa ku band.
  8. L

    Hivi ni Kweli...?

    hata cheti cha ndoa kinalipiwa. inawezekana hujafunga ndoa. vyeti vyote vinalipiwa. ndoa ni mtihani mzito kuliko mitihani sifa kuu ni uvumilivu, upendo na msamaha.
  9. L

    Yeye mke wa mtu mi mme wa mtu lakini.......

    penzi la wizi ni tamu lakini mke wa mtu ni sumu
  10. L

    Wife Materials

    good lucky, mke mwema unandaliwa na mungu omba untafanikiwa.
Back
Top Bottom