Nakushukuru sana kwa uchambuzi makini unaonyesha uhalisia wa siasa za hapa Tanzania na jinsi demokrasia inavyokua kwav kasi. mabadiliko yanayotokea ni ishari nzuri kwa vyama vya siasa. wajitahidi kujipanga vizuri kwani fikra za wanananchi zinabadilika.
hata cheti cha ndoa kinalipiwa. inawezekana hujafunga ndoa. vyeti vyote vinalipiwa. ndoa ni mtihani mzito kuliko mitihani sifa kuu ni uvumilivu, upendo na msamaha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.