pole sana dada ila tambua mungu hajakuacha ukiona machungu yanazidi jua neema imekaribia na dhahabu hupitishwa kwenye moto ili ingae zaidi
ucjal haya yote yatapita na utaucmulia ukuu wa Mungu
ndoa ni mipango huwezi tu kuamua kuolewa kwa sababu umefikia umri fulan au agemate wako wameolewa
kila mtu anamalengo yake kwenye maisha so hatuwezi kufanana mbona mwanaume utackia akisema najipanga kwanza kimaisha ndo niowe hata wanawake ni vivyo hivyo
pili sioni kama kuolewa ni lazima kwanza...
jaman tuctoe tu mada kujifurahisha maana naona hata hotuba hujaisoma chadema c chama cha wakurupukaji bali wasomi na wenye uelewa mkubwa wa mambo they dare to talk because they did reaserch and they have evidence so they have right to speak na sio makanjanja wavaa maganda naamin...
hongera sana kwa sababu hujakata tamaa na kusoma nakushaur usubiri matokeo mapya yatoke naamini hautakuwa hapo na pia unaweza kupangiwa shule ya advance ukiona mambo hayaja badilika nenda TIA ila kama unapenda kusomea mambo ya mahesabu pale hukosi nafasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.