He makalio yanyonywe tena uwii! na wewe ukikabwa si utakufa jamani
Mshike akili, afurukuti
Kwanza wewe ni jinsia gani...Wana jf wenzangu naomba mnisaidie, ni sehemu gani ya mwili mwanaume akishikwa anakwisha habari yake?
hapo sijakuelewa vzr penye red.ni vigumu kuweka jibu kwa ujumla wake kwa kuwa wanaume hawafanani kwenye vionjo vyao,hivyo ni utundu wako utakaokusaidia kujua ni wapi umkune uliye naye wakati huo naye apagawe kama unavyotaka wewe,ila tu kwa kukupa hint tu kuna sehemu moja ambayo ina mstari kwa chini ya babu ambayo kila mwanaume anayo pale ukijua jinsi ya kupakuna utashangaa matokeo yake na utanipa jibu..
madame t upo kweli? nimekumis
sharafa ndio nini jamani:rain:
Ni kweli kabisa lema ni tapeli mkubwa watu wa arusha wanamjua ila tatizo ni waoga kusema ukweli hata huyu kijana niko mm mwenye nilishamuelezaga habari za lema lakini alinichukia lakini baada ya kuyaona mwenyewe alikuja kukiri kwamba nilicho kuwa namwambia ni ukweli mtupu kuhusu lema.