Na je? Kama umeingia playstore kuna app zote zinakubali ila kasoro moja tu inaitwa shazam inagoma kabisa inaandika waiting for download!! Inazunguka wee harafu inagoma shida ni nini!
Mmh🤔🙄leo ni April 1 siku ya wajinga duniani! Ila mseveni kasema ni siku ya wenye akili duniani! Isiwe kama anatupiga changa la macho mzeebaba ngoja tucheck
Niwasalimu tu habari wote!! Twende kwenye mada!! Katika mtandao wa EATV na east Africa radio wameliport huko china kuna mtu mmoja! Amekutwa na virus hivyo! Je? Hivyo hiyo ni habari ya kweli ama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.