Recent content by Lili masta

  1. L

    Unapenda movies? Tazama hizi weekend hii!

    Je? Ukiingia play store kuitafuta popcorn time! Maana unaweza kuandika zikaja nyingi tu! Je yenyewe ina muonekano gani? Kwa mfano
  2. L

    Unapenda movies? Tazama hizi weekend hii!

    Shukrani sana mzee!!🙏🙏
  3. L

    Unapenda movies? Pitia hapa kidogo

    Naweza kupata wapi website ambayo ntaweza kudonwnload movie hizo jamaa apo alizokuwa anazielezea
  4. L

    Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

    Mzeebaba kwangu mbona inakataa kufunguka yani
  5. L

    Msaada wadau simu inagoma kupakuwa App playstore

    Na je? Kama umeingia playstore kuna app zote zinakubali ila kasoro moja tu inaitwa shazam inagoma kabisa inaandika waiting for download!! Inazunguka wee harafu inagoma shida ni nini!
  6. L

    Sitasahau siku nilivyo wapa lift vibwengo kwenye baiskeli

    Duuu🤔🙄we jamaa ndo umehadithia vile vile au ndo wewe
  7. L

    Nimeamua kustaafu rasmi JF, Utangazaji na Uandishi wa Habari baada ya kuhudumu miaka 30. Niko free kujiunga Siasa, nimejiunga CCM na nitagombea Ubunge

    Mmh🤔🙄leo ni April 1 siku ya wajinga duniani! Ila mseveni kasema ni siku ya wenye akili duniani! Isiwe kama anatupiga changa la macho mzeebaba ngoja tucheck
  8. L

    Tulivyotapeliwa msibani, tapeli alitumia mbinu rahisi sana kiasi kwamba kila nikifikiria nacheka tu

    Aisee hiyo ni zaidi ya bongo dar es salaam! Aisee watu ni noma!! Natamani nicheke! Lakini sio mazuri
  9. L

    Ukitaka kwenye dunia hii uone umelogwa endekeza pombe

    Hapa sasa hivi nipo bwiiii nimelewa faru za jero jero alooo naona ni maluwe luwe tu🤯🤯
  10. L

    Ambao huwa tunaangalia tamthiliya/movies zilizotafsiriwa tukutane hapa

    Kuna moja hivi imeanza st swahili inaitwa razia sultan alooo ni balaa
  11. L

    Ambao huwa tunaangalia tamthiliya/movies zilizotafsiriwa tukutane hapa

    Dah! Nimetokea kuipenda waaris! Wakina Manu au prity, na raj rohan ni balaaa mziki wao usipime
  12. L

    China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi

    Niwasalimu tu habari wote!! Twende kwenye mada!! Katika mtandao wa EATV na east Africa radio wameliport huko china kuna mtu mmoja! Amekutwa na virus hivyo! Je? Hivyo hiyo ni habari ya kweli ama
  13. L

    Alikiba kazubaa sana

    Watu wote wa kiba wameamia kwa kondegang kazi anayo!!
Back
Top Bottom